Kuna nyumba inapangishwa mbezi juu Goba Road.Ina masterbed room na vyumba vya kulala viwili, sitting room ndogo na choo cha nje. Parking ya gari ipo. Maji sasa hivi yamefungwa kisiasa mpaka mambo yatakapo kaa sawa yatatoka.
Kodi ni Tsh 200,000 kwa mwezi. Kwa wali ambao serious wanaitaji ni PM...
Mimi navyoelewa kwa wewe unayetumia 150Kwh per month upo kwenye category T1 ambapo unit moja ni Tsh 221 na service charge ni Tsh 3,841 gharama zote hizo bila VAT. Kwa ufupi wewe utakuwa unatumia kwa mwezi kati ya Tsh 40,000 mpaka 50,000 kwaajili ya umeme tu. Bei ya umeme Tz ipo juu kwakweli
Hata mimi niliwahi kupata hili tatizo. Lakini nilikuja kupata risiti na nilivyokuja kuangali nikagundua kuwa risit za mafuta hazina mambo ta tax ndio maana wauza mafuta wengi awataki kuangaika nazo. inadaiwa kuwa mafuta yalishalipiwa kodi.
Wewe jaribu kucheck risiti utaona amna mambo ya Tax
Sehemu wanazonunua used simu ni kwa mafundi simu ambao wapo sehemu kubwa ya jiji. Vile vile unaweza kucheck na maduka ya kariakoo kwani wao mara nyingi huwa wanauza used simu ambazo wameziweka cover mpya na zinaonekana kama mpya.
Nyumba ya vyumba vitatu na sebule na jiko inapangishwa kwa Tsh 300,000 kwa mwezi kuanzia mwezi wa sita. Parking ya gari ipo. Nyumba ipo kwenye fensi. Wasiliana na mimi kama upo serious.Amna mambo ya udalali.
Nyumba ni kweli inapangishwa. Sijapata email yako naona ulikosea. Kama upo serious unaitaji nyumba basi nitumie cmu yako kwenye email yangu hili nikupigie jinsi ya kuonana na kuiona hiyo nyumba. Tumia email hii : kimandolu@hotmail.com
Nitumie msg kwenye email yangu hili tuweke kuwasiliana na uweze kuja kuiona kama utaipenda. Kumbuka hii nyumba aina pesa za mambo ya udalali. unalipa hiyo hiyo pesa.
Nyumba ya kupanga ipo mbezi juu kupitia massana hospital (mbezi beach).Ipo kuanzia tarehe 1/3/2012. Inamaster bedroom, vyumba vingine viwili, toilet na small sitting rm. Gharama yake ni Tsh 200,000 kwa mwezi. Ipo ndani ya geti na imewekwa tiles ndani. Wasiliana kwa email : kimandolu@hotmail.com
Nyumba inapangishwa kwenye shared compound. Ipo ndani ya fensi. Ni nyumba yenye vyumba viwili vya kulala na kimoja ni master. Ina sitting room pamoja na jiko. Kuna sehemu ya kupaki gari. Ipo mbezi juu, njia ya Massana Hospital. Gharama kwa mwezi ni Tsh 200,000.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.