Inshu sio kubaki 70,000!!ni suala la logic tu kama sasa basi kwenda Mza hadi 100,000 hata akifanya laki 50!! Bado ni nafuu, mbona huko kusini mwa africa anafanyq vizuri
Yaani upinzani apate soln ya mabalaa wanayopata wananchi?? Umeme tabu, maji hakuna, madawa hakuna, pesa ndio hizo ripoti ya CAG kila leo inaonyesha mabilioni yanaliwa na hakuna hatua zinazochukuliwa!! Watanzania ni wa kuachwa na kufa tu hadi kizazi kipya kitakacho kuja chenye kujitambua.
Hivi kweli mwanasiasa tena wa kiafrika anaweza kuwa na huruma na watu wasiojitambua?? Usione wazungu wamefikia hapo ni kutokana na kujitambua kwao!! Hata kama ni weee kwenye deal zako unapokutana na jitu jinga unafanyaje??
Daaaa!! Mwafrika, mwafrikaaa!! Kiumbe cha ajabu kuwepo duniani, somtimes Mungu mwenyewe huwa anajishangaa hivi hiki kiumbe kilitoka wapi?!! Kwa akili kama hizi
Ni laki 3 kwa sample 3, ila utaratibu wake hadi ukapime ndio mgumu,lazima kuwe na sababu,kupitia taasisi kama mahakama,polisi,ustawi wa jamii,sio una pesa yako kesho unaenda eti kamata hawa pima,akili za kiafrika zinajulikana hata kwa Mungu.
Mbona ni simple tu kama kweli viongozi wa juu hawakubaliani na hicho alichosema ,wampinge hadharani na watoe amri vyombo vya dola vimshughulikie!!mwafrika na unafiki pacha.
Hii nchi ni ya ajabu sana,sheria ipo kabisa inayozuia upuuzi kama huu!!mtu ku record tukio la ajali na kuli post!!lakini hazina meno,wasimamizi wake hawana muda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.