Sawa naunga mkono 100% wakamatwe na wengine wafukuzwe kazi. JE?
1. Ni nani huyo atakayewakamata?
2. Ni nani huyo atakayewafukuza kazi?
3. Iwapo hawatakamatwa na wala kufukuzwa kazi CDM itafanya nini? Wasiwasi wangu ni kwamba CDM ikaishia kubwekabweka kama Mbwa muoga na mwisho na mwisho ikaishia...
Acha umagamba wako hapa, wewe umeona hili la joshua kushusha bei ya sukari, hili la Kikwete barabara za juu Dar es Salaam hivi ni miaka 7 madarakani hata dalili ya barabara moja hakuna, wewe hujaliona?
Wana JF ukweli ni huu: Simu iliyomuua KANUMBA ni kwamba LULU alikuwa anachati na Mheshimiwa ZITTO ZUBERI KABWE. Kanumba akiwa bafuni alimsikia LULU akise ZITTO KABWE I LOVE YOU THAN ANY BODY and TAKE A KISS MWAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA. I miss you ZITTO KABWE. KANUMBA is just...
Kama huamini Zitto ametafuta mawakili wa kumtetea LULU ili akitoka amuoe. Pia kafanya mpango wa kufoji cheti cha kuzaliwa LULU aonekane ana miaka 17 wakati mwenyewe siku ya Birthday yake alionesha cheti cha miaka 18. Je ZITTO ana maaana gani kudanganya umma umri wa lulu. Pia LULU akihojiwa na...
Simu ya lulu iliyomuua STEVEN KANUMBA usiku wa manane alikuwa anachati na Mheshimiwa Zitto Zuberi Kabwe.
Kanumba alipata mshtuko na kupata hasira baada ya kusikia LULU akisema Mh. Zitto I Love you than any body TAKE A KISSY MWAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
duh, wewe nama: dini, hamadi rashidi, cuf, wanasheria, vita vya dini duniani nk. hizi ni topic kama nne hivi yaani 4 in 1. tunashindwa tuchangie topic ipi?i
hata mimi nawashangaa ninyi munaezania kwamba jk ni rais, nawashangaa hadi leo munasema ni watanzania, hivi hii tan-zan-ia ipi? mbona zan ilishajitoa siku nyingi. yaani nawashangaa hawa magamba wajiita chama cha mapinduzi, hivi wanafanya mapinduzi gani au ndo kuondoa utajiri wa rasilimali za...
MTATIRO Njoo CDM sio eti unafuata pesa au umaarufu la hasha, kuna nguvu uliyonayo ndio tunahitaji huku CDM. Hii ina maana kwamba mpambanaji makini kama wewe Kaka MTATIRO ukiwa pale mjengoni dodoma, fikiria Timu hii ukiwa 1. MTATIRO 2.ZITTO 3.SLAA 4. LISSU 5. MNYIKA 6. MBOWE 7. LEMA 8. MDEE 9...
Mtatiro wewe ni mpambanaji nakufahamu tulikuwa wote pale DARUSO you was excellent. NJOOOOOOOOOO CDM mchango wako tunauhitaji. Njooooo CHADEMA hapo CUF unapotea hutafika popota.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.