why wanaume mmekuwa kama wadudu msioshiba na mwanamke mmja nowdayz hamna mapenzi ya kweli mnachojali ni kupata penzi tu acheni hizo tumeshachoka kuumizwa na nyie!!
imebaki wiki moja afunge ndoa cha kushangaza anamegwa na jamaaa mwingine kabisa. kila cku jamaa anatinga kitaa anakula mzigo huku bwana harusi mtarajiwa akisubiri kwa hamu ndoa! ukweli tabia hii mbaya na inatukera majirani!!! au ndo tabia ya wahaya wote!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.