BAADA YA ASALI KUONEKANA NI MSAADA KWA MATATIZO MENGI YA KIAFYA WATU WASIO WAAMINIFU WAMETAKE ADVANTAGE YA KICHAKACHUA ILI WAFAIDIKE, MIMINIMENUNUA JUZI HUKU KWETU TANGA NIMEITEST IKO POA KWANI YALIPUKA HIYO YAHE. (CHUPA YA ORANGE TSH. 5000 TU.:yawn:
Kumbe ndio huyo? Mbona wa kawaida tu dada zetu bana mnapenda kushobokea hao wabana pua, mmekuwa kama wema wa copper aaaa samahani wema wa kanumba ,sorry wema wa h bb.malizieni wana jamvi maana kuna kamsuruu ka kutosha kwa waliombandua wema.
KAMA MTAKUMBUKA MIAKA YA 2000 KUNA HAWA MABINTI WAWILI WAIGIZAJI KWENYE KUNDI LA SANAA LA KAOLE ENZI HIZO WAKIUZA SURA ITV JE WAKO WAPI HAWA DU! WALIUZA SANA MAGAZETI YA AKINA SHIGONGO A.K.A UDAKU.:embarassed2:
Jamani hata mimi nimemuona kwenye kile kipindi cha mkasi,kiukweli nashindwa kuelewa ki2 gani kinamsumbua yule x miss tz wetu ni mrembo kweli lakini naona anatumia urembo wake vibaya kwani mara kwa mara haishi kuwa na skendo mjini.Pamoja na urembo wake nafikili ana kasoro ambazo mwanaume yeyote...
huyo jamaa wa ajabu sana mwenyewe anafikiri ni ujanja kumbe ni ushamba hivi muonekano huo akiwa kwenye screen anatufundishia nn watoto wetu? ndio maana kaoa mtu ambae ni aged kwake.
Bila shaka huyu demu ana lake jambo kwa nn amekuwa akiwachanganya namna hii wanaume? inawezekana akina Kanumba, COPPER na wengine walopita hapo walikuwa hawamfikishi kisawasawa aje kwangu nimtulize.
Kwa kweli hii Timu inatia kichefuchefu sana, timu imepoteza mvuto kabisa.Lawama ziwaendee makocha na wachezaji.Yaani haingii akilini huyu Mwalimu kuendelea kuwatumia akina Machupa na wenzie ambao wamechuja vibaya, hivi akina Kayuni ni maoni gani ya kiufundi mnayompa huyo babu?
Au ndio bora...
Tatizo lako ni la kisaikolojia zaidi unafikiri kufanya hivyo ndio unakidhi haja zako,nakushauri acha mchezo huo utashindwa kupafomu hata ukiwa na mkeo.
pole sana kaka kimbilia haraka hospitalini asikwambie m2 tofauti na ushaur sehemu hiyo ndio yenye starehe zaidi kuliko sehemu nyingine za mwili wa mwanamke.
Yule headmaster mwangoka yupo bado pale tukuyu? Au nae ndio kajifanya gadaf? Du mdingi yule nae alikuwa mnoko, hivi mnamkumbuka jamani hata waalimu wenzake walikuwa wanamuogopa kinoma.alikwishampiga kichwa mshikaji fulani alikuja pale shule kumtembelea mkewe. Almanusura awekwe lupango.
Hata mademu wa pale Mbeya dei walikuwa wakali si mchezo jamani.Lakini si unajua tena enzi hizo mchizi huna hata jero mfukoni utampta nani? basi hasira zetu tulikuwa tunazielekeza kupiga book kama hatuna akili nzuri vile na ndio maana tulikuwa tunapasua paper kinoma
Ee bana wewe uliyetoa k2 hiki cha mbeya dei ni Mkali,umenikumbusha mbali sana hasa wale waalimu waliokuwa wanoko kama si wazee wa noma(bakora).kwa kifupi napenda kuwakumbuka wachache. Mwl Mwakamele(marehemu),Mwl Mwandeko (marehemu) Mwl ZOYA mzee wa typing(marehemu) na bila kumsahau mbunge...
Pole sana kijana kwani utakwa umemiss utamu kwa muda mrefu,pamoja na maoni mazuri yaliyotolewa na wanajamii lakini suala la punyeto usilifanyie masihala acha kabisa mchezo huo, punyeto ni chanzo cha tatizo lako koma kabisa kufanya hiyo na utapona kabisa na utakula uroda kama kawa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.