Kwa kutumia elimu yangu ya uchumi napendekeza yafuatayo: Serikali iboreshe maisha ya watu kupunguza madai maana watumishi wakidai nyongeza za mishahara mfumuko wa bei utakuwa juu na nyongeza nyingine itahitajika so kutakuwa na mzunguko wa kudai nyongeza za mishahara.
Ni dhaihiri kuwa madaktari sasa watakuwa wanamkumbuka sana Waziri Mkuu aliyaachia ngazi 2008 kutoka na majibu aliyowapa Pinda. Ingawa madaktari wengi kipindi kile watakuwa walifurahi Lowassa alivyosulubishwa na ile ripoti ya Richmond lakini sasa wanamkumbuka. Angekuwa Lowassa angechukua...
BOOKMARK THIS PAGE
Lowassa aponda nguvu ya umma
Send to a friend
Tuesday, 10 January 2012 21:07
0diggsdigg
Anthony Kayanda, Kigoma
WAZIRI Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa, ameibuka na kukemea matumizi ya nguvu ya umma, yanayoendeshwa na baadhi ya vyama vya siasa nchini...
BOOKMARK THIS PAGE
Maaskofu waonya posho mpya,ufisadi
Send to a friend
Monday, 26 December 2011 11:47
0diggsdigg
Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Alex Malasusa
WASEMA TUSIPOKUWA MAKINI TUNAUZA UHURU WETU
MAASKOFU nchini jana walitumia...
Imeandikwa na Elias Msuya
Mwananchi
MWENYEKITI wa Kigoda cha Mwalimu Nyerere Profesa Issa Shivji amekosoa Sheria ya Mchakato wa Kuundwa kwa Katiba mpya iliyosainiwa na Rais Jakaya Kikwete hivi karibuni na kusema kuwa ni mbovu na haitazaa katiba bora.
Novemba 29 mwaka huu, Rais Jakaya...
Well done, i like president mkapa (1995-2005). If the constitution could allow us you could contest for presidential post of 2010. I wish you all the best in whatever you do in your new posts.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.