Search results

  1. M

    Kwa wimbi hili la Watanganyika kuhamia Zanzibar, tujiandae wazanzibar kupoteza utambulisho wetu ndani ya miaka kumi ijayo

    Duh umenikumbushs maneno ya mar. Dr. Omar Juma kuwa Wazanzibar kuja Tanganyika si tishio bali kinyume. Fikira potofu .
  2. M

    TRA kwanini Wamehamishia akaunti ya malipo KCB, siyo tena NMB? Ni ufisadi baada ya Magufuli?

    Hii inaitwa kujipiga risasi mguuni. Ni ombwe kubwa la kimkakati kutojenga chako kisa huduma mbaya. Hiyo huduma nzuri haikuja bila kusimamiwa na jasho.
  3. M

    Baba yake Freeman Mbowe ndie aliempatia Mwalimu Nyerere Fedha katika siasa za uhuru

    Watu wengi walichangia na hakuna mtu mmoja anayeweza a kudai bila yeye JKN asingesafiri. Tunachojifunza katika hili inapokuwa maslahi ya taifa tofauti huwekwa kando. Vyama vilivyopigania uhuru mtaji ulikuwa umoja na si itikadi.
  4. M

    The SGR War: Wakati Kenya wakisuasua, Uganda wameamua kujenga SGR. Hii ni fursa kwa SGR ya Tanzania. Is it viable? Tuichangamkie?

    Tunashindana na nani kama si sisi wenyewe. Kufikiria Kenya kama mshindani wetu ni kupigana na kivuli. Uchumi madhubuti hulindwa na soko la ndani na si nje
  5. M

    Kamati Kuu ya CHADEMA yawavua nyadhifa na uanachama Halima Mdee na wenzake 18 walioapishwa kuwa Wabunge wa Viti Maalum

    Huko ndio kufunika kichwa mchangani! Siasa kwishne imebaki figisu.
  6. M

    Sugu agoma kusoma hotuba ya Upinzani katika Wizara ya Habari baada ya kukuta 80% ya maneno yameondolewa! Naibu Spika ataka isiwekwe kwenye kumbukumbu

    Hao wanao hariri hotuba zinazotakiwa kusomwa bungeni hawawashirikishi walioandaa ili kupata ufafanuzi na muafaka? Kila siku ni migongano isiyo na tija.
  7. M

    Ndugai kumfananisha CAG na 'Mbwa' ni tusi zaidi ya mtu kusema 'Bunge lina udhaifu' katika kuiwajibisha Serikali

    Watu huitwa dhaifu pia hawalalamiki? Hii sasa imekuwa too personal kuliko official.
  8. M

    Hatua za Kumuondoa CAG madarakani kwa mujibu wa ibara 144 ya Katiba

    " tabia mbaya ni ipi" maana inaweza kuwa kokoro. Itabidi manaji wafafanue iki mtu asionewe
  9. M

    Hati ya Mashtaka dhidi ya CAG Assad: Anachomokaje?

    Sijui taratibu za kiofisi zikoje siku hizi, je Spika ndiye afisamwajiri wa CAG? Mipaka ya kiutawala izingatiwe la sivyo tunakuwa na uongozi pacha kwa ofisa mmoja.
  10. M

    Hebu tutazame timu iliyomzunguka Spika Job Ndugai

    Hajasema bunge ni dhaifu baki udhaifu wa wa bunge kufuatilia audit querries ilmakosa yasijirudie.
  11. M

    Nakubaliana na Spika wa Bunge Job Yustino Ndugai lakini si katika yote aliyoyasema jana

    Hili la kulalamikia lugha iliyotumika na wakati huo huo unatumia lugha isiyo na uungwana linasikitisha. Cheo cha Uspika hakienda na lugha ya " ukimwaga mboga na mimi na mwaga ugali". Makosa mawili hayafanyi moja kuwa sahihi!
  12. M

    CAG anatakiwa kutangaza kuachia ngazi mapema

    Je kamati yaweza kuwa impartial katika mazingira ya hii hoja iliyojaa mihemuko?
  13. M

    Prof Assad ameonesha mfano kwa wasomi wetu

    Ndiyo maana CAG aliomba majibizano aliyofanya na kamati ya bunge yawekwe wazi ili umma ujue alichoulizwa na alichojibu. Jambo ambalo si rahisi kutetekelezwa
  14. M

    CAG anatakiwa kutangaza kuachia ngazi mapema

    Hii ndiyo matokeo ya kuwa mshitaki,mwendesha mashtaka na hakimu mwenyewe. Utashundwaje kesi??
  15. M

    CAG Vs SPEAKER: Mgogoro usio wa lazima

    Mswahilswahili??? udhaifu wabunge na bunge dhaifu ni kauli mbili tofauti. Bunge limeoverreact na kuweka siasa kwenye neno la kitaaluma ambalo naamini lilitumika hivyo na si kwa maana ya lugha ya kawaida
  16. M

    Mliobobea na Kutukuka katika ‘Critical Thinking ‘ kwa Kauli hii ya Spika Job Ndugai mmegundua nini Kinachokuja?

    Huyu jamaa amesahau mkuu alichofanya wizara ya afya? Hatamtengua CAG ili aone mwisho wake
  17. M

    Siku za Rais Kagame zinahesabika. Je, atakimbilia Tanzania?

    Kujenga umoja katika nchi iliyopitia mauaji ya kimbari inahitaji kufunga masikio lakini pia kutoumiza wengine. Labda baada ya miaka 50kuaminiana kunaweza kuwepo. Falsafa ya kumbukumbu ni nzuri kama haitatumika kujustify ukandamizaji Nimeona falsafa ya NEVER AGAIN inavyotumika vibaya kuangalia...
  18. M

    Ummy Mwalimu aitetea Serikali kuhusu Lissu

    Vema serikali iingie katikz kulipia gharama, kama ni kawaida yso kufanya hivyo inapoombwa na familia. Japo desturi ikiendekezwa, basi iwe kwa wote sio political heavyweights tu. Kupigisha watu magoti kazi
Back
Top Bottom