Search results

  1. M

    Msiotumia pombe, mnapotezea wapi muda?

    Ni kweli hakuna muda wa kupoteza hasa miaka hii ya technology na uhaba wa ajira.. Lakini inategemea na mambo kadhaa, Kazi/Ajira yako, umri , mazingira unayoishi n.k mfano: mwekezaji wa Real Estate sio muda wote atakuwa busy
  2. M

    Msiotumia pombe, mnapotezea wapi muda?

    Ni changamoto kubwa sana, inategemea na mahala ulipo, mazingira lakini kwa ujumla mazingira yanatulazimisha kuingia pasipo faa wewe uko wapi ?
  3. M

    Kuhusu upotoshaji kuwa "Wasomi hawaajiriki", hebu tuwatambue matajiri wasomi

    WASOMI HAWATAJIRIKI Ndio kichwa cha habari, (kuna mtu alibadili HEADING)
  4. M

    Kuhusu upotoshaji kuwa "Wasomi hawaajiriki", hebu tuwatambue matajiri wasomi

    UPOTOSHAJI "WASOMI HAWATAJIRIKI" EBU TUWATAMBUE MATAJIRI WASOMI DEGREE LEVEL Kwangu mm nauona huu ni upotoshaji mkubwa na wenye madhara kwenye jamii yetu.. Nachojua ni kweli wasio wasomi kwa ujumla ni more risk taker kulinganisha na wasomi lakini hii pekee sio factor ya ku generalise...
  5. M

    Hii Elimu ya Mbunge Erick Shigongo sijaielewa, naombeni kueleweshwa

    Mkuu kwani huo utaratibu wa RPL haupo kwa sasa ?
  6. M

    Namtafuta Mchungaji Fracis Ndacha wa SDA nimpe sadaka yangu

    ok sawa Yeye yuko kenya na mm niko TZ
  7. M

    Namtafuta Mchungaji Fracis Ndacha wa SDA nimpe sadaka yangu

    SHUKRAN kwa ushauri, basi niite zawadi kwake binafsi ikoje hii ?
  8. M

    Namtafuta Mchungaji Fracis Ndacha wa SDA nimpe sadaka yangu

    Mbuya TATA, No monto omoholu bhokong'u
  9. M

    Namtafuta Mchungaji Fracis Ndacha wa SDA nimpe sadaka yangu

    Sorry kama ni makosa, niliona HAPA ni rahisi zaidi kwangu, na kwa nia njema.
  10. M

    Namtafuta Mchungaji Fracis Ndacha wa SDA nimpe sadaka yangu

    NAMTAFUTA MCHUNGAJI FRACIS NDACHA WA SDA NIMPE SADAKA YANGU Kwa kazi kubwa iliyotukuka ya kueneza injili naomba kujua ni namna ipi sadaka yangu inaweza kukufikia Kwa yeyote mwenye mawasiliano na huyu mchungaji wa SDA naomba msaada habari hii imfikie pia naamini tupo wengi.
  11. M

    Msaada wa QuickBooks

    UKO WAPI ?
  12. M

    Je, Tanzania imewahi kuwa na Rais mwizi?

    RAIS NI NYERERE TU AKIFUATIWA KWA MBALI NA MKAPA MWISHO WA HABARI
  13. M

    Hili wimbi la maparachichi ya kijani na makubwa yalojazana Dar yanatoka wapi?

    Ni kweli na mimi natamani kujua ni nini chanzo chake, ni kama vile yaliandaliwa kuuzwa nje ya nchi halafu ghafla soko likafungwa inabidi kusambazwa humu humu au ni ya kutoka nchi jirani
  14. M

    Mipango ya kumng'oa Ndugai kwenye Uspika yakamilika. Musa Azan na Elibariki Kingu Waongoza Mashambulizi

    Kosa la Ndugai liko wapi ? yuko sahihi kwa mtazamo wake, Kosa lake ni kukiri kosa, ila mtazamo au msimamo wake unamanufaa kwetu sisi watanzania, ndio uhuru huo, Sasa mnahitaji serikali isiyopingwa ? isiyokosolewa ? yaani tuendeleze udikteta umekomaa vichwani kwetu watanzania ?
  15. M

    James Mbatia: Viongozi wengi wa Serikali wamekumbwa na upunguani wa uelewa wa mambo

    NOTED: Pesa za mkopo tena kiasi kikubwa "KUTUMBUKIZWA KWENYE MIRADI ISIYOZALISHA" kujenga choo, madarasa, huduma za afya, walipaji ni wale wale wananchi na uwezo wao wa awali hafifu wa kuzalisha... Hakika Ndugai yuko sahihi...
  16. M

    Kimeumana, Benki ya Dunia yaiweka Tanzania kwenye nchi zenye mzigo mkubwa wa madeni

    Hakika Ndugai yuko vizuri sana, anatutetea sisi wananchi kada ya kawida, sema tu watanzania wengi ni mkumbo tu
  17. M

    Ni huyu Ndugai aliyewaapisha wabunge gereji?

    Hakika Ndugai yuko vizuri sana, anatutetea sisi wananchi kada ya kawida, sema tu watanzania wengi ni mkumbo tu
Back
Top Bottom