have worked with TYC on an exchange program call global exchange if you can tell me who called you then i can confirm but its true they do have exchange programms three month in Uk and Three month in Tanzania .
Give me more details and i can be able to advise you
Hongera kaka kwani ata hao machangudoa hawakupenda kufanya iyo kazi kama kweli umempenda na umekaa nae mkaongea na anmekubali kubadilika na kuacha iyo tabia basi sioni ubaya wa we kumkwamua kwenye ilo janga na mwenyezimungu awabariki kwani ni wengi wanaofanya iyo biashara kwa shida na so kwa...
Pole sana dear ila mrudie mungu wako na atakuongoza unachotakiwa kufanya ni kuamini kwamba you can raise your kid without him give yourself positive hope and you will make it . I passed the same path and i believe you can make it . Mtoto ndio atakusumbua ila atazoea tu with time.
Mungu...
Jamani kazi tunayo sasa hivi tunaotafuta kazi inabidi tuwe makini sana mi mwenyewe imenikuta ivyoivyo hapa arusha baada ya kumpigia jamaa akarusha nikamshtukia ni jambawazi.But iwish ningenkamata live ili tuwakomeshe.
Naamini kuwa ni matapeli coz kwanzan deadline ilitakiwa kuwa 20th June but kwa email yao wanasema tulipe kabla ya 13th June na iyo training inaanza 18th June. How come usaili ufanyike kabla ya deadline.
jamani ndugu zangu tuwe makini sana na hizi kazi tusije tukapoteza vijihela vyetu vigodo...
Habari wadau,
Jamani kuna kazi ziliadvertisiwa last week za udereva kibacha safari's na one of my relative aliapply but cha kushangaza wamemtumia email eti amechaguliwa kufanya nao kazi bila kufanyiwa usaili wa vitendo kutokana na CV yake imejitosheleza. Alafu eti anatakiwa kulipa 30,000/-...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.