We dada hueleweki...mara kidato cha nne...mara cha sita...duh...unaonekana hauko serious...mara unabadili heading eti 'mrembo natafuta kazi'....sasa urembo na kazi wapi na wapi...jinadi jinsi unavyoweza kufanya kazi...kama unataka mume sema tu watajitokeza...chezea jf...
Mkuu hapo kwenye kuondoa mawazo ya kitendo hcho umenigusa kwan ni moja ya vitu ninavyostruggle navyo,kiufupi tatizo langu kubwa ni wasiwasi wa kutoperform vizuri na najikuta kwel inakuwa hvyo,nimejitahid kuondoa hal hiyo kwa ushauri mbalmbal ninaosoma hapa lakin improvement si nzuri...
Asante kwa ushauri wako mkuu...lakin bado nahitaj kubadili approach ya kutatua tatizo hli coz litazid kuwa sugu nikilichukulia poa bila kuongea na wataalam wa mambo haya...offcoz nimesoma sehem nyng khs suala hili bt bdo cjaona mafanikio ya kuridhisha...mayb nikiongea nao physically nitapata...
habarini wanajamvi...wandugu naomba msaada kwa anayejua psychologist wa kuaminika hapa dar anayeweza kunisaidia tatizo langu...tatizo langu ni kwamba siku hizi nawahi sana kukojoa ktk kujamiiana na naamini ni suala la kisaikolojia kutokana na matukio kadhaa kabla ya tatizo hili...
yapo mliyofanya kidogo but ilitakiwa iwe zaid ya hapo ila mmekumbatia sana ufisadi na ubinafsi...nchi hii ingetawaliwa na wazalendo wenye upeo ingekuwa mbali sana maana tuna kila kitu cha kutufanya tuwe matajiri...so hatushawishiki na maendeleo yenu kiduchu mabazazi nyie..go to hell..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.