Hii ni kauli rasmi ya Chama cha Mapinduzi kinachoongoza serikali toka kwa msemaji wake Paulo Makonda kwamba ndani ya CCM kuna shughuli za mauaji ya SUMU!
Rejea nyuma Kwamba Mzee Mangula alilishwa/alinyweshwa sumu, Na leo Kwamba Makonda anataka kuuawa kwa sumu? Hii ni taarifa rasmi kwamba CCM ni...
Nina laani kwa nguvu zote kitendo cha vurugu za mgambo na watu wa jamii ya kimasai kwakupigana hadharani, Nina laani Masai kushambulia Mgambo, Nina laani kwa nguvu kubwa Mgambo wa Zanzibar kushanbulia watu wa jamii ya kimasai! Jambo hili halikubaliki kwa mjibu wa sheria za Jamhuri ya Muungano wa...
Nikiri wazi kutoka sakafu ya moyo wangu, nimefurahi sana kilio changu na kampeni yangu ya miaka mingi kuona leo imejibiwa na Mkuu wa Majeshi nchini. Nilionya kuwa nchi yetu tumeingiliwa, tunahujumiwa tena vya kutosha.
Nakumbuka 22 December 2019 niliandika makala hii hapa chini nikitilia mashaka...
Majibu yote nilishaeleza kwa undani sana katika kitabu hiki, Okello alipinduliwa akatekwa na kwenda kutupwa Uganda na Julius Kambarage Nyerere kisha Urais wa Zanzibar akampatia Karume, shughuli zote zikakamilka pale Ukonga terminal 1 jiji Dar es Salaam.
Naomba leo niwarudishe nyuma kidogo tulikotoka hadi leo nimepata Tuzo ya Mwandishi Bora wa Vitabu Afrika.
Nawakumbusha tu kwamba December 2017, kitabu cha Ujasusi kikiwa na mwaka mmoja hivi tangu kichapishwe, Mhadhiri wa Chuo Kikuu Dkt. Athumani S. Ponera (Akiwa ni Mhadhiri wa Taaluma za...
Nafikiri huu ndio ufisadi mkubwa zaidi kuliko hata skendo ya DP World. Inasikitisha nchi inatafunwa na genge liitwalo ccm hadi huruma.
Kwamjibu wa Jarida la The Global Mail linasema kuwa kikosi kilichoundwa na Rais (Task Force) cha Watu 60 waliokuwa na kazi ya kuhakikisha Kampuni ya Madini ya...
Nilikaa kimya kwa muda baada ya Waraka wa Kanisa Katoliki, nilifanya hivyo ili kuruhusu mitazamo ya wengine katika tafakuri za waraka huu. Kabla sijachambua Waraka huo, Kwanza nithibitishe kuwa NINAUNGA MKONO kwa 100% waraka huo. Na pia kabla sijachambua nimebini kupitia maoni ya watu mbali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.