Hwaangalii A za Hesabu wala kama anavyosema mdau, wanaangalia GPA na angalau uwe ulifaulu four na six two unapita. Wnalipa kawaida ila si mbaya ila utatoka umeiva sana, training nyingi na kazi ni nyingi pia; na popote ukiomba kazi baada ya hapo utaitwa manake waajiri wengi wanajua watu waliotoka...
All the best Pam, naamin Mungu atakuonyesha alie bora. Usijali comment za watu kila mtu na vile Mungu alivyomuonyesha njia ya kupata mwenza. Endelea kuomba bila kuchoka. Wote tuliomba sana sana na kufunga mpaka tukapata wenza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.