kweli wanaochapa kazi ndio wanaopigwa vita.wito wangu kwa takukuru hilo swala wadilichukulie jujuu wafanye uchunguz.na wakibain ukweli waweke wazi.imeniuma sana kusoma hizi tuhuma juu ya dk mpok aliye iokoa rufaa toka mikononi mwa mafisi.ila siwezi kumtetea sana watu wana pande mbili.lakini...
wakuu kwa kweli zamani nilikua nasoma sana habari za kubenea.baada ya kugundua ni muandishi kasuku.kwa sababu ni mmoja ya waandishi walioshawishi sana juu ya ubaya wa lowasa na uhusika wake wa richmond.yaan baada ya lowasa kuhamia ukawa akaanza kutuaminisha lowasa ni mtu safi.huyu jamaa kubenea...
Wana udom pigeni kitabu achaneni na huyo leacturel sababu yeye sio mungu had awatabirie kuwa hamna kwa kwenda. "hayo ni maneno tu hata kwenye kanga yapo siku hiz hata kwenye t-shirt yapo".
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.