yani tigo na karibu mitandao yote kwa kweli hawana maana sasa..
angalia mabadiliko ya bundle ya bila kikomo ya mwezi
walianza hivi
35GB - 20,000Tshs
then
30GB - 20,000Tshs
and now
20GB - 30,000Tshs
jamani hivi kweli hii ni sawa, huu ni wizi na sema kwa kukimbilia hamna ndo maana wanafanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.