Search results

  1. kimaus

    KERO RTO Arusha, Polisi wa Usalama Barabarani (Trafiki) ni janga. Chukua Hatua

    Huwa najiuliza kwani Arusha barabara ni moja tu ya kufanyia kazi? Ukitoka KIA mpaka kufika Sakina utakutana na kundi la askari sio chini ya watano kila baada ya kilometa moja au 2!! Unajiuliza mbona mjini kuna barabara nyingi lkn wote wamejazana barabara moja tu????
  2. kimaus

    BASATA mnabeba lawama ya mmomonyoko wa maadili

    Tena in the very near future tutakuwa na jamii ya hovyo sana
  3. kimaus

    BASATA mnabeba lawama ya mmomonyoko wa maadili

    Suluhisho ni kuhakikisha msanii hatoi wimbo kabla ya kuupitisha Basata na wausikilize na kama kuna mashairi yasiyo na maadili basi msanii aambiwe akayaondoe. Maana wimbo ukishatoka huwezi kuuzuia!!
  4. kimaus

    BASATA mnabeba lawama ya mmomonyoko wa maadili

    Ni kweli. Ali Kiba anaimba nyimbo nzuri, hazima matusi, hazichochei matumizi ya vilevi na bado ni nzuri.
  5. kimaus

    BASATA mnabeba lawama ya mmomonyoko wa maadili

    Ndivyo inavyoonekana lkn wanatuharibia jamii yetu
  6. kimaus

    Adolf Mkenda, Ndumbaro, Mwana FA wajiuzulu sakata la wanafunzi kuchezeshwa wimbo wa Zuchu 'Honey"

    Serikali ipige marufuku muziki mashuleni au sehemu yoyote yenye watoto. Kama ni muziki basi ziwekwe nyimbo za uzalendo na kulisifia taifa.
  7. kimaus

    BASATA mnabeba lawama ya mmomonyoko wa maadili

    Baraza la Sanaa la Taifa kwanini mmekuwa na kigugumizi kwenye muziki usio na maadili. Siku hizi nyimbo nyingi zina matusi, hazina maadili au zinachochea mmomonyoko wa maadili lkn cha kushangaza zinapigwa kwenye vituo vya redio na Televisheni. Watoto wetu wanaimba nyimbo za ajabu kwa kuwa...
  8. kimaus

    Unakumbuka nasaha/maneno yepi ya Baba/ Dingi/ Mshua wako?

    "Mwanangu ubaya haulipwi kwa ubaya" Nayaishi haya maneno ya mshua, japo bado yupo hai
  9. kimaus

    Kwanini asilimia kubwa ya watumishi wa kike katika ofisi za umma wana kibri, dharau na majibu ya nyodo?

    Unachosema mtoa uzi ni kweli kabisa. Wanawake wengi wana shida kwenye customer care. Wanaleta frustrations zao kwenye maofisi.
  10. kimaus

    Mti mzuri wa kivuli usiochafua na majani

    Mti wenye kivuli na usiodondosha majani au mbegu nyingi ni Mkoramaji, wengine huiita Mdodoma, kisayansi unaitwa Trichilia emetica.
  11. kimaus

    Mh. Rais Samia, Wakazi wa Ukonga tumeikosea nini Serikali?

    We acha tu. Sielewi Jerry Slaa anafanya nini bungeni. Dar es Salaam lkn kama vile tupo Kintinku!!
  12. kimaus

    Mh. Rais Samia, Wakazi wa Ukonga tumeikosea nini Serikali?

    Yaani jijini lakini ndio tuna barabara mbovu. Wenzetu temeke wana lami mpaka vichochoroni
  13. kimaus

    Mh. Rais Samia, Wakazi wa Ukonga tumeikosea nini Serikali?

    Unaweza ku push kujiletea maendeleo kaka lkn sio kujenga barabara ya lami. Mfano watu wamejenga culverts maeneo mengi tu, lkn linapokuja suala la barabara ya kiwango cha lami, si suala la wananchi. Pia, nakubaliana na wewe hata mbunge wa upinzani ni mtanzania, lkn siasa za kiafrika unazijua...
  14. kimaus

    Mh. Rais Samia, Wakazi wa Ukonga tumeikosea nini Serikali?

    Mh. Samia, jimbo la Ukonga jijini Dar es Salaam kwa maoni yangu ndio jimbo lenye barabara mbovu kuliko jimbo lolote. Barabara zetu zote ni mbovu yaani ni kama tumesahaulika au tumeikosea Serikali. Barabara ya kutoka Banana kwenda Kivule hadi Msongola ni mahandaki. Kitunda mwanagati ni mahandaki...
  15. kimaus

    Wizara ya Elimu huku hali ni mbaya! Watoto mnawatengenezea Ulemavu

    Nazungumza na mwanangu hapa sasa hv, anasoma shule binafsi, anasema walimu hawafuati ratiba, maana unakuta somo ambalo halipo leo mwalimu wake ndio anakuja darasani na anasema usipokuwa na daftari lake unapigwa. Kwa kweli wizara ya elimu iziangalie hizi shule binafsi. Mwanangu mpaka anapinda...
  16. kimaus

    Wizara ya Elimu huku hali ni mbaya! Watoto mnawatengenezea Ulemavu

    Aisee ficha basi hata kidogo kaujinga ulicho nacho. Tatizo la watoto kubebeshwa madaftari mengi lipo zaidi shule binafsi kuliko hata za umma.
  17. kimaus

    Wizara ya Afya Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Juzi nimeenda hospitali moja binafsi kumpeleka mtoto wangu akiwa na severe constipation, akahitajika afanyiwe Enema. Lkn cha ajabu nikaambiwa NHIF doesn't cover Enema, yaana kale ka chupa cha dawa Enemax hakipo kwenye bima. I had to pay 20k huku roho ikiuma. Bima gani hata dawa ndogo hivi hazipo?
  18. kimaus

    Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

    Inaonekana nawe unapumuliwa, maana umekuwa mtetezi sana. Penal code (154) kasome, you fag!
  19. kimaus

    Viwango vya Michango ya Mwenge kwa Watumishi

    Kwani huu Mwenge upo wizara gani? Hiyo wizara haina bajeti? Mwenge unajulikana na gharama zake zinajulikana, kama Serikali inaona umuhimu wake kwa nini Wizara husika isiutengee bajeti?
  20. kimaus

    Lema asema hakubali mtu kuuawa kwa kuwa ni shoga

    Soma Penal Code kifungu cha 154
Back
Top Bottom