Tatizo la serikali yetu ya CCM mzaha na usanii mwingi, nina uhakika EL,AC Hawatajiuzuru kwa sababu ya utoto aliokuwa nao Nape na wenzake kina Sitta na hapo ndo tutakapoiona picha kamili shauri yao bwana.
Kweli Mjepu Bado U Kimeo , Sijakuelewa una maana au unataka kusema wakristo na wachaga ndo wanangang'ania kwenda Ikulu kufanya Upuuzi Kama Unaotokea sasa Nchini mwetu,acha wehu mjepu fanya tahmini kabla ya kusema.ukiendelea hivyo utapata laana na maisha yako yote yatakushinda kuanzia ndoa mpaka...
Habari Mzee wa Gamba, Kumbe nawe upo ndani ya JF Hongereni kwa operesheni vua Gamba.lakini hii falsafa mmeitoa wapi lakini au ndo mmeikota kwa watoto wa kitaa mkaibandika NEC,kweli mlishindwa hata kumpelekea mzee Kingunge au Mkapa awashauri mtokeje. Ila nakushauri najua wewe ndo mlopokaji wa...
Ndugu yangu Mbopo inaonekana huelewi kabisa mfumo wa serikali unavyokwenda, hakuna manunuzi au malipo ya serikali yanayoweza kufanywa na mtu mmoja hiyo kitu haipo dunia yeyote ile. Kesi ya Mahalu na Liyumba zinafanana kabisa. Ukifanya maamuzi serikalini kwa kutofautiana na wanasiasa lazima...
Kumbe kuna watu bado mnaziangalia, Binafsi nilishaacha miaka 3 na nusu iliyopita kwa bongo huwa nazicheki comedy tu hizo nyingine ujinga mtupu picha gani ikishaanza unajua itaishaje. Mimi ninaiomba wizara iweze kuwasaidie watu wakuweza kuhariri filamu zao otherwise watakuwa wanaziona wenyewe
Tanzania hii hakuna mtandao unaoweza kuutumia bila matatizo 100%, wote wasanii tuu wamekuja kutunyonya tu washibe then waondoke lakini kiama chao kitakuja tu, tatizo hata nchi zetu zimekosa viongozi wote madodoki tu wanaendeshwa na wawekezeji tu, cha kukusaidia wewe uwe na laini zote tu...
Habari wana JF,
Naandika habari hii kwa masikitiko makubwa, Nina mashaka na ubunifu na uelewa wa baadhi ya viongozi katika nchi yetu hasa kwenye masuala ambayo yanaonyesha taswira ya Taifa letu . Naandika hivi kwa sababu nimeshuhudia kitu cha ajabu mno jumamosi ya Tarehe 14/05/2011 pale...
Binafsi nimeishuhudia hii, Hakika Chadema Wanakubalika wana JF kama hukubali utakuja shuhudia na kuthibitisha hili, sikutegemea kabisa CDM wakakusanya watu wengi kiasi kile tena watu wa rika zote Sumbawanga, Nauomba uongozi wa CDM waendelee na moto huu mikoa yote na kanda zote.
Unaweza...
Safi sana Dk endelea kutufumbua macho watanzania ipo siku wote upofu utatoka na kutambua upi mchele na upi uwele, endelea kufuatilia kila kitu baba uliokoe taifa hili.
Aluta continua.
Habari wanaJF,Nimejiunga rasmi ndani ya JF dakika 72 zilizopita, Nawapa hongera wana Man U kwa ushindi mzuri wajana FA Premier League Champion imetua Old Trafford Hilo halina ubishi. Nawaomba wenzetu wa Arsenal,Liverpool,Chersea,Man City watuunge mkono pia tarehe 28 mei pale Wembley na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.