kama kweli una masters niandikie ufaulu wako wa ba na masters kwa pm au nitumie copy ya cv kwa email yangu robistory@gmail.com naweza kukusaidia kazi ya ass. lecturer mahali ila ajira ni kuanzia mwezi wa 9 ndugu yangu kila la heri.
mangula nafikiri ni zaidi coz ameongoza CCM taifa zima na kama tujuavyo CCM na CDM ni mlima na kichuguu huwezi kusema slaa anamzidi mangula vinginevyo ni utashi wako binafsi
Wadau kama tuwajuavyo majembe hayo mawili wote wamepata kuwa na hadhi ya ukatibu mkuu wa chama ingawaje mpaka sasa dr. slaa bado ni katibu lakini katika utendaji wao hawa watu kila mtu ana mafanikio yake hasa historia zao za kutukuka sasa je kati ya hawa unafikiri ni yupi ana mvuto na uwezo...
hili ni tatizo lao kuu maranyingi huwa nagombana nao hapo wanaamini slaa ni malaika na ni mwarobaini wa matatizo yote ya TZ wakati anamwili kama wao,, anawaza kama wao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.