Napenda kuyaongelea haya USHABIKI WA KISIASA & IMANI YA KISIASA,Katika siasa haya ni mambo mawili yanayokinzana kutoka mtu hadi mtu, nayo huchangiwa hasa na hadhira inayoangalia mchezo mzima wa SIASA. HADHIRA(jumuiya tazamaji) ina mchango mkubwa katika kutoa muelekeo wa maana halisi ya haya...
Tatizo nchi hii mna njaa sana,,,,sasa watu wenye maamuzi wamedhamiria, na watamwinda mzee popote alipo na atakuwasupported kugombea uraisi whether you like it or not.
VIVA ENL
MKUU GALIYA UNAINGIA CHAKA ,,,,umeongelea kuhusu utendaji wa MORINGE(rest in peace) but kwa LOWASSA umetaja hisia zako tu huna ulichoproove,,,,umetaja tabia za MORINGE kawa kuelezea yale aliyoyafanya kipindi cha uongozi wake bali kwa LOWASSA hamna ulilolitaja zaidi ya mawazo yako binafsi ambayo...
MKUU SAGGY,,,
hapa unatwanga maji kwenye kinu,,,,kukosekana kwa hoja za kumpinga lowassa ndio maana sahihi ya ukubalikaji wake, hao wote wanaompinga wanapminga kwa mada za kwenye KAHAWA
russians piia ni wazuri katika kuwanunua spies but they are not easy in letting the spy from another country kwenye premises zao ambazo ni critical and secretive
naamini russians pia wapo makini nae (snowden) because mtu anaeweza kuuza nchi yake hawezi kuona shida kukuuuza hata wewe jirani (tena adui wa asili,russians)
hapo ndipo tatizo lilipo, watanzania ni wanafiki siku zote,,,yanakuja wakati ambapo fulani anatarajia kutangaza nia,,,unachofanya huna tofauti na team diamond na team wema bro.
sasa mzee mbona tunakua na misimamo ya kisarawe,,,escrow inakushinda,kama huioni vile,huyo anaetuhumiwa bila uthibitisho unamng'ang'ania balaa,,,,,,,,pinda na kashfa ya sukari bado anapeta huongei
Tanzania 'will mine uranium on Selous Game Reserve'
The Selous Game Reserve in southern Tanzania is one of the largest fauna reserves in the world
Continue reading the main story
Related Stories
Serengeti road halt for wildlife
Country profile: Tanzania
Tanzania will go ahead with plans to...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.