Search results

  1. L

    CAG: Wastaafu na wenza wao wanaigharimu NHIF Tsh 84.7 billion kila Mwaka Bila Wao kuchangia

    Huyu haelewi maana halisi ya bima. Wastaafu walichangia kwa muda wote wakiwa kazini. Magonjwa yote ni magonjwa lazima mwanachama ahudumuwe magonjwa yote. Mwalisho anasema kwa unyonge kuwa serlikali ilipe madeni yake kwa bima, je ni utaratibu serikali kukopa kutoka mfuko wa bima ya afya?
  2. L

    Tanzania population growth trend. A blessing or curse?

    Why not, this thread to me is neutral because I want get the views of every one.
  3. L

    Tanzania population growth trend. A blessing or curse?

    Dont judge me! It is an open ended question. Answer it at your best.
  4. L

    Tanzania population growth trend. A blessing or curse?

    Serikali inawajibika kuweka mazingira wezeshi kwa wananchi wake, ikiwa ni pamoja na kutoa knowledge na skills kwa wananchi kupitia mifumo ya elimu, kuweka sera nzuri za upatikanaji wa mitaji. Serikali inapaswa kuwekeza kwenye tafiti. Hiyo ni kwa uchache sana!
  5. L

    Tanzania population growth trend. A blessing or curse?

    Age Group Both Sexes Percent Male Percent Female Percent Total 59,851,347 100 29,137,638 100 30,713,709 100 0-4 9,207,431 15.4 4,584,971 15.7 4,622,460 15.1 5yrs-9yrs 8,654,737 14.5 4,302,577 14.8 4,352,160 14.2 10yrs-14yrs 7,766,213 13 3,919,610 13.5 3,846,603 12.5 15-19 6,083,497...
  6. L

    Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unakaribia, tujiulize malengo yake yanatekelezeka?

    Uwakilishi mwingi uaharibu maana ya kuwa kiongozi wa watu
  7. L

    Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unakaribia, tujiulize malengo yake yanatekelezeka?

    Uchaguzi wa serkali za mitaa unazalisha mwenyekiti wa kitongoji, mwenyekiti wa kijiji/mtaa kakini kata haina mwenyekiti, tarafa haina mwenyekiti, wilaya haina mwenyekiti wala mkoa hauna. Unadhani hwaelewi kama wenyeviti hawa wanahitajika mbona kwenye vyama vya siasa wanaelewa kuwa nafasi hizi...
  8. L

    Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unakaribia, tujiulize malengo yake yanatekelezeka?

    Mambo ya uchaguzi wa srikali za mitaa yanarudi tena bila maswali yangu ya msingi kujibiwa. Sawa tu wacha twende kibubu, MUNGU wa mbinguni atatulipia.
  9. L

    Tanzania population growth trend. A blessing or curse?

    The history of population counts in Tanzania dates back to 1910. The first modern census was conducted in 1958. After the union of Tanganyika and Zanzibar in 1964, other censuses were conducted in 1967, 1978, 1988, 2002 and 2012. Since 1967, the country has conducted decennial Population and...
  10. L

    Kwanini Watanzania na Tanzania ni masikini pamoja na rasilimali (resources) tulizonazo?

    Poor leadership, corruption, lazy, Poor education
  11. L

    Waraka kwa Watanzania Wote: Amkeni

    Hoja hapa siyo kujua historia vizuri au kiswahili, hoja ni kwamba watanzania tunahitaji katiba ili tuanze rasmi maisha katika Tanzania huru
  12. L

    Waraka kwa Watanzania Wote: Amkeni

    Jikite kwenye hoja
  13. L

    Waraka kwa Watanzania Wote: Amkeni

    Tanganyika ilimilikiwa rasmi na Ujerumani tangu mwaka 1885 baada ya mkutano wa kugawana Afrika uliofanyika mjini Berlin nchini Ujerumani. Baada ya hapo Watanganyika walianza kutawaliwa rasmi na Mjerumu. Katika utawala wa Mjerumani, Mtanganyika aliondolewa kabisa majukumu ya uongozi na kazi hiyo...
  14. L

    Why African countries are poor and what can be done

    Thank you Capital for your appreciation, When I explained the concept of Labour of citizen (Lc), here I mean that prosperity of the nation comes from hard working citizens not grants or loans. My advise to the governments of poor countries is to focus on their citizens rather donors and...
  15. L

    Why African countries are poor and what can be done

    It has been a long time complaining about exploitation by whites, let us wake and overcome them!
  16. L

    Why African countries are poor and what can be done

    Inabidi wananchi kuamka au kuamshwa ilikuanzisha makampuni yakuzalisha vitu vyetu wenyewe uwezo tunao sasa
  17. L

    Why African countries are poor and what can be done

    Hakuna laana yoyote ni muda tu.
  18. L

    Why African countries are poor and what can be done

    Time for change is now, let us come up with solutions instead of worries and blames
Back
Top Bottom