Mimi ni Mwl wa secondary nipo manispaa ya songea, kama una ndugu,jamaa au wewe mwenyewe yupo/upo mbeya jiji na ungependa kuhamia manispaa ya songea tuwasiliane. 0756 56 72 82.
Nimepangwa songea mjini (ajira mpya za walimu) ninaomba kama kuna mtu yeyote aliyepangwa mbeya mjini, vijijini, mbozi, mbalali, rungwe na kyela na angependa kufanya kazi songea mjini tuwasiliane. 0756 56 72 82 na 0717 28 27 26.
Nimepangwa songea mjini naomba yeyote aliyepangwa mbeya mjini au vijijini na angependa kufanya kazi songea mjini tuwasiliane...0717 28 27 26 na 0756 56 72 82.
Wanabodi ni siku ya pili leo kila nikijaribu kununua kifurushi cha MB 400 sipati naomba msaada wa kujua tatizo ni nini. Kimefutwa au ni tatizo la mtandao tu?
Nimekuwa mteja wa star times kwa muda sasa lakini wamechosha na wamekosa ubunifu. wamefikia hata kubadili chanels kwenye vifurushi bila kutoa taarifa. mwenye tetesi au taarifa za king'amuzi cha ITV na SAHARA anipatie.. Kama kuna watumiaji wa ZUKU naombeni kujua wana local channels ngapi na za...
Hizi ni fadhila za JK kwa baba yake na Richard mzee kasesela ambaye kwa muda mrefu sana alikuwa kamishna wa madini wakati JK alipoingia wizara ya nishati na madini enzi zile..ndipo ukaribu wao ulupoanzia na toka hapo wamekuwa family friends na jamaa huwa anatumwa hata hospitali kuwapeleka wadogo...
Kwa kuweka kumbukumbu sawa huyu jamaa yenu (Mulugo) akiwa administrator shule yake iliwahi kufungiwa kuwa kituo cha mitihani na NECTA kwa miaka mitatu baada ya kupatikana na hatia ya kuibia wanafunzi wake mitihani.
Ukweli siku zote hujitenga na ukweli..c muda mrefu aibu iliyowafika kwa Muro itawaanika kwa mara nyingine tena jinsi askari wa Tanzania wanavyotumia akili za watu wengine kutekeleza majukumu yao. Ndio maana hata wakiambiwa ishi kwenye vibanda vya mbwa hawaoni hatari kutii amri..NDIO AFANDE! Ndio...
Kubenea ni mpambanaji asiye na mfano...na Sitta ni mnafiki asiye na mfano pia, kwa kifupi ni mchumia tumbo ambaye Kubenea hawezi uacha kumuandika na kufichua uozo wake.
Wenye akili zetu tulishajua nini kitajiri dodoma...ccm c chama chenye uwezo wa kufanya maamuzi magumu abadani. Na hiyo picha inadhihirisha hilo...wamejaa unafiki tu.
Viongozi wa Mbeya Wanazidi kutudhihilishia tu kuwa serikali yetu inaishi kwa matukio na kamwe wao c binadamu wa kawaida wanaweza kujifunza kutokana na makosa mengine...yaleyale mazungumzo baada ya kuua na kuumiza raia wasio na hatia kwa kodi zao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.