Ukwaju ni mchungu na wengi wetu tunaona ni bora ubuyu kuliko ukwaju.
Mi sitaki nikukimbize manake mwisho wake nitachokam we anguka jifanye kama umepata ajali uniache mi nikukamate na mwisho wa siku uonekane shujaa. Haya ndiyo maneno ya siasa mtahani na ndiyo salamu za vyama vingi mpaka chama...
, kaka hapo umesema na tatizo undugu ni mwingi wanataka mtu mwenye degree na wa2 wanaomba ila mwisho wacku anachukuliwa mtoto wa mjomba kamaliza form 4, sasa hapo unaraumu nn lazima yapate watendaje wabovu na wapoteze hela we ofisi nzima wanaongea kiruga alafu wizara, mi naona tatizo lipo kwao...
, mkuu self kivipi cjakuelewa hapo, wizara ya Fedha ilitoa nafac nyingi mwezi wa 5, na kwa hesabu za haraka ha2jajua kama wameita ila kama ndiyo hao haina shida 2taomba kwinginevia Mobile
Mi chadema naona kama wanamwenyekiti mwingine manake sehemu kubwa wanaonekana kuwapiga vita viongozi waliokua wahaminifu ila chadema 2ambieni ukweli mna2miwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.