vijana mna hasira,lkn 2punguze jazba km program ambz hazijakamilika ktk baadhi ya vyuo wameshazitaja bac hii inamaanisha kuwa majina yp krb kutolewa,lkn na mm nadoubt kwa nn tarehe ya 2nd applxn itajwe alaf majina unreleased!
na deadline yao ya 2nd applxn ikifika na bd hakijaeleweka itakuwaje...
Kwa wale wny ving'amuzi vya strong x_series fuata hatua zifuatazo upate scrumbled chnlz za sabc 1 mpk 3 na etv.
1.weka chnl husika mfano sabc1,then bofya 8280 au 8282 ili upate biss key table yenye row 60 na column 32.
2.kisha row ya 1 na 2 weka namba 0 zote mfano...
Kjn hy njia ya kuunganisha na PC kwa kiasi fulani ni watz wachache ambao wanaweza!
sasa kwa wale ambao hawana hy PC lkn wanazo recievers tu(king'amuzi) watafanyaje?
@yussufmzee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.