Kwa muda mrefu sana tangu harakati za kisiasa zilipoanza nchini sikuwahi kupata fursa ya kuingia kwenye mitandao mbalimbali hasa jamii forum ambayo nilikuwa mdau mzuri sana, nashukuru nimerejea lakini kwa masikitiko makubwa nimekuta jamii forum ya Leo ni tofauti sana na jamii forum niliyoijua...
Habari zenu wadau, ni matumain yangu kuwa ninyi wote ni wazima wenye afya njema na mnaendelea vizuri na harakati mbalimbali za maisha.
Kipekee napenda kumshukuru sana mwenyezi MUNGU kwa rehema na hekima kuu aliyonijalia kwa kunipa nguvu, akili na juhudi nyingi kipindi chote ambacho...
"You cannot carry out fundamental change without a certain amount of madness". these words was spoken by Thomas sankala, this massage has given me a lesson while i was thinking of my country Tanzania and our life situation as tanzanians, its obvious we have a long journey toward changes or...
You cannot carry out fundamental change without a certain amount of madness. these words was spoken by Thomas sankala, this massage has given me a lesson while i was thinking of my country tanzania and our life situation as tanzanians, its obvious we have a long journey toward changes or...
NDUGU WATANZANIA NA WANA-CHADEMA WOTE MNAOPENDA MABADILIKO YA KWELI, NAPENDA KUTOA TAARIFA JUU YA UONGO, UZUSHI NA PROPAGANDA CHAFU ZINAZOFANYWA NA CCM, KUNA TAARIFA ZA UONGO ZIMEWEKWA JAMII FORUM ZIKIDAI ETI MIMI NA VIONGOZI WENZANGU WA CHADEMA TAWI LA IFM TUMEJIUNGA NA CCM LEO KITU...
NDUGU WATANZANIA NA WANA-CHADEMA WOTE MNAOPENDA MABADILIKO YA KWELI, NAPENDA KUTOA TAARIFA JUU YA UONGO, UZUSHI NA PROPAGANDA CHAFU ZINAZOFANYWA NA CCM, KUNA TAARIFA ZA UONGO ZIMEWEKWA JAMII FORUM ZIKIDAI ETI MIMI NA VIONGOZI WENZANGU WA CHADEMA TAWI LA IFM TUMEJIUNGA NA CCM LEO KITU AMBACHO...
kweli wewe ni mwana CHADEMA Kweli? Kama ni kweli basi wewe uwezo wako ni mdogo sana ushauri jitahidi kufanya research kidogo tu utajua umuhim wa kura ya siri
mkonda your right kijana vijana wa nchi hii ni lazima watambue kuwa nchi haiwezi kujengwa na mafisadi na wezi nadhani kwa hili umejifunza kutoka chadema hongera.
a fool is a fool no matter what, makamanda ebu muwapuuze hawa vibaraka wa siasa mbowe atabaki kuwa nguzo muhimu ndani ya chama siku zote kwa taarifa zenu, na mtachonga sana cz yamewafika shingoni ukimuondoa zito na waasi wengine viongoz wetu wote tunawaamini ndo maana chama kimefika hapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.