Polisi wasitumike katika siasa na kuegemea upande wa chama chochote wanatia haibu na wanadharaulika na itafika kipindi polisi watashindwa kuishi uraiani na familia zao wajalibu kuona mbali
Tatizo la Nape kwenye hili umejikanyaga sana,mala chadema mala mafisadi naomba tueleweshe hao mafisadi niwa ccm au nao niwa chadema?acha kukurupuka mtauwana wewnyewe kwa wenyewe na kuvuana ngozi mpaka mkome.au unaongelea waliomvua mwakyebe ngozi?lakini hao siyo magaidi
Habari za kwenye kanga hazitakuletea maendeleo,kama unataka ushauri kawafuate wahusika wapo ambao ni ben na zitto.wao wamekataa wewe unataka nini km vipi tengeneza na wewe move urushe yutube
Aliyesa ya Lusinde katoa vielelezo sasa tatizo likowapi na wewe ukitoa vielelezo?alafu swala la fani ya mtu nadhani siyo tatizo ila tatizo ni uchagiaji hoja,kwani mchemba hajasoma mbona anaongea utumbo mwanzo mwisho?Vick kamata ni mcheza ngumi? mbona mziki wa sugu unawatoa povu?yule mganga wa...
Mh sisi kuweza kwetu ni kukubali kukatwa kodi kuwapa watawala na wao watutimizie matakwa yetu,hakuna cha pamoja tusidanganyane wao watatue matatizo maana kodi wanazo siyo kuwa matajiri wakishakua wanasiasa
Mimi nadhani ni misifa tu maana hakuna mwenye mpango wa kugonga au kufanya lolote wakati ana walinzi,umefika muda sasa waangalie usalama wao na waaskali pia wanaowapitisha watawauwa wote kisa misifa ambayo haina maana,nimeona hata magereza wameanza huo ujinga
Katika maisha yako ulisha muona mama maria nyerere,mama mkapa au mke wa mwinyi wanapitishwa na msafara askali wanaloa barabarani na wakati mwingine anaenda saloon,Tanzania imebaki masalia siyo linchi tena
Sasa wewe muda wote unalea wale wazee unataka akuone muda gani wakati hao wazee ujawalisha kwanza?na ulipokuja ulifikia kwa nani maana inavyoelekea huna ndugu huku Tanzania.
Kama huna la kuchangia nyamaza,sasa hapo porojo ziko wapi kwa uelewa wako mdogo,usitake akili ndogo itawale kubwa,ukweli unabaki pale pale jeshi limeoza na hapo nikama amegusa kidogo maana vituoni walishageuka miungu watu.walishajiweka kwenye chama tawala wanajua hawafanywi chochote na...
KOVA yuko tanganyika perkas anatafuta waliomtesa kibanda wakato wanaenda kutubu kwa mchungaji gwajima,fara kweli lakini malipo ni hapa duniani muache atumike kama condomu
Acha kabobo za kutunga wewe utakua unaundugu na mwigulu story zako hazina mashiko,inawezekana huyo ndugu yako ndo mwizi ndo hela zinamfanya aishi uko nje anauza kadi km njugu mwambie akome na wewe ukome kuleta upuuzi usiokuwa na mashiko,komaaaaa!
ACHA UJINGA WEWE,uvamie maeneo ya watu kwa ujinga wako alafu umlalamikie halima?usitegemee msaada kwa ujinga wako na halima hayuko kutetea maovu na kura usimpe kama unatabia ya kuiba vya watu ukitegemea kuna mtu wa kukutetea,usipoteze muda wako kumsubili mbuge kwa upuuzi wako na ukome maana uko...
ulisikia wapi kesi ya nyani unampelekea ngedere?walishajipanga cha kufanya lakini ipo siku mambo yatabadilika haya mambo wanayofanya yanamwisho,wote pale hawakuwa wajinga kiasi kwamba hawajui risasi,na hapohapo hicho kitu kigumu kikawaporomokea nw wengine 2?acheni ushoga polisi!!!!!!!!
kweli huyu jamaa katika wajinga ni namba moja na alipo kaitwa hajui lolote na ujinga alionao mpaka hajijui kuwa amejua kuandika kutokana na mwalimu na kujua kutumia computer kafundishwa na mwalimu ila namjua alishawahi kumpiga baba yake akafukuzwa kwao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.