Ivi mbona mnachukulia wenzenu sio binadamu...kwani raisi afai kuzungumza kwa kile ambacho amekiona.... Pia aliyetoa tamko la kuachiwa ni Wizara ambayo basata iko chini ya iyo Wizara
Katika mikataba ya kibiashara kipengele cha wapi mtashitakiana au amshitakiana Mmoja wenu akikiuka kinakuwepo wazi? Kwa maana yake kusema huo mkataba iko kipengere kipo... Na ata kama kipo bado amna kesi kuna mapungufu mengi sana...
Inabidi atueleze amekamatwa kwa kuvunja mkataba na basata au kwa ajiri ya nyimbo baada ya apo tumpe swali jingine maana naona amekuja kwa kupanic utafikiri ye ndo kaguswa kwa mawazo yake na tafsiri yake
Usipanic twende kwa hoja na wala si kupanic...umejibu vyema amevunja mkataba na basata? Kwa iyo maana yake basata ndo walitoa amri akamatwe na amekamatwa kwa makosa gani?? Maana naona umejibu kwa kupanic tuu... Je amekamatwa kwa kuvunja mkataba au kwa nyimbo?
Nimepata kusikiliza nyimbo ya nay wa mitego mara nyingi niwezavyo na nimeshangaa kusikia polisi ndo wamemkamata maswali ambayo nimejiuliza ni kuwa wanaelewa maana ya msanii na wamemkamata kwa kosa gani sababu kazi ya msanii ni kuimba juu ya kile ambacho wewe unafikiria yeye amuusu...
Kwangu...
Jambo ambalo nimelishika kwako ni ili "Whoever loves money never has money enough; whoever loves wealth is never satisfied with his income. This too is meaningless"
:):):):):)o_Oo_Oo_O
Why Tanzania? Why wewe
Alipokaribia zaidi na kuuona ule mji, Yesu aliulilia "akisema: "Laiti ungelijua leo hii yale yaletayo amani! Lakini sasa yamefichika machoni pako. 43 Maana siku zaja ambapo adui zako watakuzungushia maboma, watakuzingira na kukusonga pande zote.44 Watakupondaponda wewe...
Tokea Donald Trump haingie madarakani kila mtu amekuwa akifatilia kuona nini ambacho marekani inafanya.
Kila ambacho viongozi wa wetu wa siasa ningependa ijufunze kwa kuendeleza nchi yetu ni kauli ya bilionea wa Mexico Carlos Slim alivyomuelezea Raisi wa Marekani "
"he urged others to read it...
Basi tuchukulie wanAume sio wavumilivu na shida za mapenzi maana ukiangalia ata umu jf malalamiko mengi ni ya wanaume..Mara mpenzi wangu ivi Mara vile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.