Mimi nimetaja INDUSTRIAL CHEMIST, sasa hayo ya industry chemist sijui umeyatolea wapi!! Na mambo ya kiingereza kuwa shughuli pevu unahitaji tukupe ualimu wa tuition!!
Habari wanajamvi,
Nahitaji mtu aliyesoma kozi ya Idustrial Chemist.
Kwa aliye interested a atume CV yake kwenye e-mail address: arnoldmuganyizi@ymail.com kwa mawasiliano zaidi.
Kwa kosa kama la kwake sheria ya Tanzania namba 12 ya mwaka 2006 ya anti money laundering sehemu ya 3 kifungu cha 12&13 adhabu yake ni kifungo kisichozidi miaka 10 na kutopungua miaka 5 jela au faini isiyozidi million 500 au kupungua million 100 za kitanzania.
Wakuu naomba kujua kwa wale wenye ufahamu. Kuhusu ujenzi wa bandari ya Bagamoyo maendeleo yake yamefikia wapi.
Na pia naomba kujuzwa kuhusu maendeleo ya Bagamoyo Park project yamefikia wapi!!
Na pia vp nchi za Marekani na India zina mpango wowote wa kuzuia hizi project za Bagamoyo port na...
Kama huna la kuchangia kaa pembeni, ndo umeandika upuuzi gani huu!! au na wewe unataka uonekani umo levet na Sumbuwanga ndo nini!!!? wewe ndo wale kina Shilole
Habari wakuu,
American ambassador gave 800 million USD donation to Tanzania, nilitaka kujua what benefit did Tanzanian government give to American side?, and what effect does it have on Chinese interest in investing to Tanzania.
Kwa wale wenye uelewa wa hili tafadhali naomba mawazo yenu.
Utakuta hata hao waliotoa hiyo ahadi ya kuchangia trillion 3,hata wakijikusanya wote utajiri wao haufiki hata million 100 yaani hizo mbwembwe kama Hashim Rungwe alivyokua anajifagilia kushinda uraisi[emoji23] [emoji23] [emoji23]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.