Ngeleja anazidi kutugawia giza badala ya kutupa umeme! kinachonishangaza katibu mkuu wa wizara anatuhumiwa kwa kukusanya pesa za kuwahoga wabunge ili wapitishe bajeti lakini eti Ngeleja yeye safi!!! hivi huyu Jairo alikuwa anafanya kwa niaba ya nani na ili mfurahishe nani kama si Kikwete na...
wewe umechoka kabisa hawa wa tz wanaotawala kwa hiyo miaka kumi nakuondoka madarakani wakiwa wameuza nchi ndo unawafagilia? ona wanavyoua wananchi nyamongo - tarime wakitetea hao wazungu wasio na manufaa yoyote kwa wazawa
huu ni mfumo wa vyombo vyetu vya usalama ndo unatuathiri!!!! polis wanafanya kile ccm inachowaagiza kufanya!!!!!!!!!!! maamuzi yataaksi matakwa na mahitaji ya ccm tu. ila haya yana mwisho wake ambao umekaribia
tumechoka kusimamiwa na vyombo vya usalama ambavyo havina maamuzi ya kujitegemea eti kufanya maamuzi ni lazima ccm iulizwe!!!!!!!!!!!! your days are numbered seriously
iwe wakati wa kiangazi wakati wa mvua harakati zitaendelea maana huu ndo wakati wa mabadiliko!!!!!!!!!!!! mabadiliko yasubiri kiangazi!!!!!!!!!!!!!!!! mbona ninyi baada ya kujivua magamba mnaendelea kujitangaza kila mkoa kuwa mmejivua magamba na mnaendelea kustawi kama mafisadi zaidi????????????
chukua soda moja ya coka au pepsi halafu mimina kwenye sinki au choo kilichoweka sugu halafu baada ya dakika tano kasugue utaona matokeo yake na hivyo ndivyo inavyofanya mwilini!!!!!
babu nyerere mzee wa vitendo huyu jk kazi yake vijembe!!!!!!! sasa vijembe vina utekelezaji? ndo maana hana jipya kwa kipindi chake chote sijui atakumbukwa kwa lipi! bora mkapa tunamkumbuka kwa kujenga barabara kwa kiwango alichoweza? huyu jk katiba tu imeisha mtoa jasho.
ccm wanajitengenezea mabomu na muda si mrefu yatawalipukia acha yajazane kwa miaka mitatu mfululizo halafu matokea yake watayaona tu kupitia hao wanaomaliza kidato cha nne na sita wakiwa na ziro huku wakiachwa bila msaada wowote.
kweli chuo cha ccm na wanaosoma huko wote wamekuwa wana ccm! lazima mfike mahala elimu yenu iwakomboe si kumchukulia kikwete fomu ya kuwania urais halafu mnaanza kusema oh hakuna maji chuo oh mikopo hatupewi! ninyi ni wasomi wa namana gani mnao kubali kirahisi kuyumbishwaa na mfumo bila...
mbona ya saddam hussein walionesha walivyomnyonga hii kama ni kweli kwanini wanaficha? lazima wadadisi wa mabo tutilie mashaka hili tukio la mauaji ya ossama
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.