Ninashangaa sana kabwana mdogo kametoka masasi kameibukia dodoma, ccm kuna bahari ya ufisadi Nape anakuja na dekio na ameanza kunywea mara ooo hatukutoa siku tisin mara ooo hatuna majina sasa yatakutokea puani mtoto
Lema ni mashine ya kutwanga na kukoboa mwacheni wanaotetea taifa hili wanauchungu sana mpaka tuwafumbue macho ndio muone hasira na wala rushwa taifa linateketea tunawahitaji wakina lema kama kumi tuhara kishe ukombozi yuko na watu makini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.