Mafisadi na wezi wa nchi hii wangeinvest kwenye soko la ndani na kuachana na tabia yao ya kuficha fedha nje ya nchi haya yote yasingekuwepo kwa sasa, benki zisingefirisika na wala watu wasingepunguzwa makazini,
Mimi namuunga mkono Prof, japo sifahamu mtendaji mkuu wa bodi ya mikopo ana report kwa nani, Raisi au Dr Ndalichako au kwa Eng Manyanya, hakuna IT manager wa hovyo na asiyeijua kazi yake kama huyu IT Manager wa bodi, maana sisi tunaorudisha mikopo ndio tunajua kadhia yake, hafai kabisa na hata...
Aiseeeee, Tahliso!! Hiyo ndio taarifa kwa Umma!! Kweli mwenyekiti mnae na sijui mlimchagua vipi? Huyu amebaliki continuing students warudishe makwao how sure kwamba uhakiki wa mwanzo ulikuwa unamapungufu?? How sure kwamba uhakiki wa sasa tena wa wiki mbili utakuwa sahihi?? Bora mie nilisoma enzi...
Mimi ameniacha kwenye sintofahamu aliposema alipewa jina madelu maana yake ndevu nyingi, ngoja nimwamini maana ananiaminisha aliporudia shule akitokea kwenye kazi ya kuchunga ng'ombe tayari alikuwa anandevu nyingi za kumfanya aitwe madelu, ngoja nika update biology yangu kisha nitarudi kuchangia
Katika vitu ambavyo Sir God kanisaidia season hii ni kuniwezesha kuhama sehemu ambayo ina machine/ofisi za betting, hii imeniwezesha kuupuuza mchezo huu ambao kiasi kikubwa nilikuwa naliwa zaidi ya ninavyomla mimi
Itakuchukuwa mwaka mzima kupata mteja, Makongo juu, chumba kimoja, bei laki tano!!! Unless uwe unamaanisha 50,000/= watu hata kukupigia simu hawatotaka,
Effect ya free market, ukisema ma Engineer hawawezi kutengeneza hata baisikeri unakuwa unatuonea, kwanza ili utengeneze baisikeli lazima uwe na uhakika wa soko, ila kama ya maonyesho hapo hakuna tatizo, pili sio wahandisi wote waliopo Tanzania ni Mechanical Engineer, majengo yote unayoyaona...
Tatizo lipo kwa jeshi letu la polisi, Mimi niliibiwa simu zangu pamoja na laptop mwezi wa nane, simu moja ilikuwa na box lake so nikawa na IMEI number yake, njia za panya zikaniwezesha kumjua mwizi wangu na maeneo anayochezea, Tatizo lipo kwa mpelelezi wa kesi yangu, aisee yaani hatoi...
Safisha radiator, check water pump, check fan belt kama ai slip, check water pump belt, check coolant level add if necessary, check oil level, add or change if necessary, ukishindwa kufanya yote hayo, nenda Makumba garage wacheck cylinder head gaskets
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.