hata church inaonekana huend e noma yan kina dada walvyo weng wanatngaza kutafuta wachumba da kama vip tafuta weekend katege pale mwenge wanaposukana huwez kosa
umemjibu vizur hyo jamaa hpo juu hivi hushangai akina mama wengi wa vijijini ndio washangiliaj CCM kweli huwa kunna vitu wanapewa ukiachana na khanga na tshirt
wew sijui bro au sis hivi huon ccm wanapoipeleka pabaya nchi yetu wanavyokula washawai kukupa hapo hata kidogo hebu elimika for few mnts ccm ilkuwa zamani tu sasa hivi hakuna kitu CDM wanataka kuikomboa nchi na wew pia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.