Kaka pole Sana, haya yalishanikuta jirani alikuta tayari nimeshamaliza nyumba yangu safi na ukuta safi pande zote nne. Akajenga wa kwake na upande mmoja akatumia wa kwangu bure kabisa, sasa uwanja wangu hupo chini na kwake ni juu, kwa kweli nilijenga kozi za tofari zaidi ya 9 akasema niongeze...
Mzee Kikwete anaona mbali hata Chuo Kikuu cha MUHAS ilikua Campus ya Chuo Kikuu Cha DSM. Mbele ya safari huko Campus hiyo ya Mbeya inaweza kuja kuwa Chuo Kikuu.
Mzee umesahau kuwa katika uchaguzi wa Rais, tunachagua rais na MGOMBEA MWENZA. Maana yake MGOMBEA MWENZA naye anapigiwa kura za Rais ndo maana Rais akishinda na yeye anakuwa Rais Mtarajiwa moja kwa moja kama kuna lolote litakalotokea kwa Rais. Hivyo basi, Rais Samia ndiye Rais kwa sasa bila...
Mkuu ukiona mtu anafanya joke na UVIKO-19 ujue haujampitia au haujapitia familia yake. Ebu aende ICU akaone wagonjwa wenye UVIKO-19 wanapumuaje, alafu aje hapa aseme ni mafua tu. Hii kitu isikie tu mkuu kwa mbali. Usiombe ikutokee au itokee wazizi wako alafu uambiwe yuko kwenye ventilator.
Umeongea ukweli mtupu. Wengine chogi tupu. Anakwambia nataka nyumba lakini aina AC, unamwekea AC anakaa miezi 6 anakwambia hana fedha ya kodi kubwa anahama. Yaani baadhi ya wapangaji ni watata sana hususan, kwenye kulipa [emoji56][emoji56][emoji56]
Mimi ni mzaramo, napangisha nyumba lakini ata wapangaji siwajui. Tunakutana kwenye kusaini mikataba. Mambo ya makabila sio ya kuya- generalized. Utafiti wangu mdogo ni kuwa makabila yote wanaongea sana, wengine hawaonekani wanaongea kwa kuwa hawajui kiswahili. Ukitaka kujua wanaongea sana ngoja...
Ni kweli Mkuu miaka 10 iliyopita nilinunua kiwanja mil 20 salasala wakati huo kulikuwa shamba kidogo kwa sasa bila mil 80 mpaka 100 hupati kiwanja maeneo hayo.
Mdogomdogo kwa kujibana nimemaliza mjengo. Watoto wanacheza na wanapanda juu mara chini. Maisha safi kabisa. Nimemaliza mjengo huo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.