Tatizo la serikali yetu pamoja na vombo vyake vya dola inaendekeza siasa za kijinga sana hata katika maswala yanayohitaji umakini katika kuyatatua. Haya maswala ya kuchinja yako wazi kabisa, serikali iache kukwepa majukumu yake. Ifanye maamuzi kwa kufuata sheria za nchi na si kuwaomba viongozi...
Mimi binafsi nakupongeza kwa kukubali kuhojiwa na kwa kujibu maswali, nafikiri huo ni uamuzi wa busara sana. Maana kwa namna moja au nyingine inajibu maswali mengi walionayo jamii ya Kitanzania kwa ujumla wake juu yako. Ni wazi kuwa nafasi yako kama mtoto wa rais aliyeko madarakani huwezi...
Mkuu nyuzi yako imejawa na hila zaidi. Kwani kuna mbunge gani ndani ya CCM ambaye hana hatia ya hayo uliyo mnenea Mh. Magufuri ?. Mimi nahisi umetumwa kumchafua ili kumsafishia njia aliyekutuma. Hizi ni mbinu za wagombea urais 2015 ndani ya chama tawala. Mimi siko hapa kumpigia debe Mh. Magufuri...
Hili swala limeanza kama mchezo vile, lakini kama busara haitatumika linaweza kutufikisha mahali pabaya sana. Nimefuatilia na kusikiliza cd ya yule Askofu wa Mwanza anayetuhumiwa kwa kuchochea ugomvi kati ya Wakristo na Waislam, kwa kweli kabisa katika cd hiyo sikuona uchochezi wowote labda kama...
Zion Daughter, njia pekee ya kumuondoa mkoloni anayekalia elimu yetu ni haya maandamano. Mimi sio mwanachama wa CDM lakini naunga mkono juhudi na harakati hizi. Viongozi wa nchi wangeheshimu tu kilio chetu watanzania juu ya anguko la elimu na kuwawajibisha viongozi husika. Kusingekuwa na sababu...
Epuka kujidharirisha, ukisikia jambo, au ukisoma jambo kama hukuelewa vizuri ni heri uulize ufafanuliwe. Ukikurupuka kwa ku-criticize jambo au maelezo amayo hujayaelewa unatufanya tujue kuwa wewe ni miongoni mwa wenye akili ndogo sana na humu jamvini usingpaswa kuwemo. Hivi hujui kuwa watu...
Wewe Atongwele acha ushabiki wa siasa, hiyo video imetengenezwa na Lwakatare kalishwa maneno. Jielimishe kupitia link hii htt://www.youtube.com/bad lip reading
Mkuu umekurupuka kuandika hii thred. Jielimishe kwanza juu chimbuko zima la tatizo la Elimu hapa Tanzania ndiyo utoe maoni yako. Epuka kujiaibisha, heri ungekaa kimya watu wangefikiri kuwa unahekima.
We Jichola3, mbona unajidhalilisha hivyo. Elly B kaleta nyuzi ambayo ina mantiki kabisa tena kwa faida ya taifa letu na watu wake bila hata kupendelea dini yeyote. Wewe umeonyesha ushabiki wa kijinga kabisa na usio hata na faida yeyote ile. Mwishoni mwa maelezo yako umeonyesha ufinyu wa uwelewa...
Ghost Ryder, umefanya haraka sana kuihukumu Kwa Neema FM. Na hivyo umeonyesha upendeleo mkubwa katika hukumu yako juu ya hiyo Redio ya Kwa neema Fm. kwa taarifa yako vipindi vyote vya Redio vinavyo rushwa moja kwa moja yaani (LIVE) au vilivyo rekodiwa kwanza yaani (Prerecorded) ni lazima pia...
Wewe naona umetanguliza zaidi ushabiki wa kichama bila kutumia akili!!. HATA KAMA wangekuwa hawana mikakati, hufikiri kuwa ikiwa ufisadi tu pekee ukudhibitiwa kisawa sawa watanzania japo wataiona tofauti. Nakama unawasiwasi na Chadema tuambie uliye na ujasli naye ni nani, au ni chama gani...
Bongolander, naona haukuisoma taarifa yote, au umeisoma tu juu juu. Taarifa imeeleza vizuri sana na kuonyesha kuwa ushauri kwa selikari ulitolewa mapema hata kabla hali hii iliyopo sasa. Fuatilia tovuti ya CDM, na Ilani ya CDM ya uchaguzi ya 2010. Hivyo CDM hawaja-hijack hii hoja hata kidogo...
ZAIDI ya nchi 50 duniani zimejadili ripoti ya haki za binadamu iliyowasilishwa na Tanzania katika Baraza la Umoja wa Mataifa mapema wiki hii na kuielezea kuwa licha ya kuonyesha mafanikio, lakini ina kasoro nyingi zinazopaswa kusahihishwa.
Miongoni mwa mambo ambayo waliitaka Tanzania...
Tumia kichwa kuelewa wazo lililoletwa humu jamvini badala ya kukimbilia kuita watu wanafiki. Mbona unajidharirisha kwa kuonekana mwenye matatizo ya kuelewa wewe!!!!!!
Acha kuleta ndoto za mchana humu jamvini. Mbona ktk uchaguzi mkuu uliopita 2010 picha za mikutano ya CCM zilijaa wingi wa watu na mabango kibao nchi nzima na bado wakapigwa chini u rais, ila walichakachua tu. Hao watu wamelipwa pesa na chakula kisha wakaletwa mkutanoni kwa marori na mabasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.