Search results

  1. M

    Tamko la waziri kivuli wa Fedha kuhusu Mashine za EFD

    Nashangaa kuona kuna watu wanachangia lakini hawajui maana na kazi ya EFD migodini ikafanye nini sasa are you grear thinker?
  2. M

    TRA someni hapa: EFD zenu WIZI MTUPU

    Nashangaa kuona wafanya biashara wanakua wavivu kulipa kodi,huku kodi kubwa ikilipwa na wafanyakazi.kwanza TRA wanasema kwa wale wenye faida kuanzia 14mn kwa mwaka na sio mauzo ya biashara ya mtu,pili haiwezi kuathiri mfumuko wa bei nchini kwasababu EFD haimgusi mzalishaji bali inamgusa...
  3. M

    Mdahalo Star Tv: Nape, Jussa na Marando

    Nahic nape ana mtazamo wa kipekee ndani ya chama.
  4. M

    Mdahalo Star Tv: Nape, Jussa na Marando

    Nilimshuhudia nape akijikanyaga na maswali kwa kushindwa kusema mlengo wa ccm kwa sasa na sikweli ccm haipo katika ujamaa na kujitegemea bali ipo katika ubepari jambo jingine nape kazidi kutudanganya kua ccm inatoka hapo ilipo kwa mafanikio na kutupeleka kuleee!! Tusipokujua nahisi pekee na...
  5. M

    This is Rostam I know... The Story Behind the Man

    Niinavyo mimi jamaa kaona sahivi chama cha magamba hakuna maslahi(deal) tena akiendelea atakula hasara zaidi kwahiyo anaingia msituni kutafuta deal zingine zaidi
  6. M

    Pinda anajenga Nchi yake BLW wanapiga domo la Mafuta ya Zanziba to launch $800m oil expl

    Msamaha wa kodi kwa mda wa miaka kumi wawekezaji watafaidika na serikali itafaidika kwa wafanyakazi watz kukatwa kodi p.a.y.e 30% baada ya hapo kampuni inauzwa to another kampani mifano ipo mingi jamani je hii ni akili au matope wtzania tupo wapi lkn? 'je kifungu hiki kina afikiwa'
  7. M

    Kikwete hunywa guiness moja kila siku

    Hii ni kali sijawahi sikia if president ana drink.
  8. M

    Sitta: Nina wakati mgumu

    Ila huyu 6 wame dhihaki, na kumzalau vya kutosha kwa kitendo kile cha kumbwaga uspika haoni tu.
  9. M

    Rais Kikwete mgeni rasmi Mei Mosi 2011; fuatilia hotuba

    Wana jf tufananishe kati ya hotuba ya JK na Mgaya ipi imesimama? ama kweli safari ni ndefu.
Back
Top Bottom