jamani cyo kweli kwangu mimi binafsi binti mweusi ndo mara zote anauteka moyo wangu naamini hata wakati ntapoamua kutafuta mchumba nitatafuta mweusi[natural colour],naamini hili linategemea how you persive.
Tusimshambulie msembi hayo ni mawazo yake,pia naomba nimuunge mkono msembi,hebu niulize wapenda mageuzi ktk tanzania hii inayomilikiwa na watu wachache,yuko wapi zitto kama yule wakati ni kiongozi UDSM?yukowapi zitto kama yule kabla hajafukuzwa bungeni?yuko wapi zitto kabla hajateuliwa kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.