magamba weeeeeeeeeee!!!!!!!!!! Ushindwe na ulegee kama wewe huelewi madhumuni ya maandamano ya chadema rejea agizo la waziri mkuu la kuhakikisha bei ya sukari haizidi 1700, chadema waliandamana kupinga kupanda kwa bei ya sukari iliyokua zaidi ya sh 2000 kisha pinda akatoa agizo nchi nzima...
hiyo ni noma mtu wangu, umeona faida ya kutokuwa mkweli kwa mwenzio sasa kazi kwako, kama mdomo pazuri mpe maneno matamu tu na ahadi nyingi na atatulia tu, na kama ulikuwa unamfikisha mahali pake aaaaaaaah atoki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.