Sijawahi kushuhudia kipindi ambacho watanzania wamechoka,kata tamaa and wana matatizo mengi kama hiki! People are tired of CCM AND GOVERMENT YA JK! Watu wengi wapo tayari kwa lolote including me! Wazee huku mtaani nayashuhudia matatizo ambayo hayaelezeki! Kuna mdada namfahamu jana kapokea...
Nashangaa jf kuitwa home of great thinkers, kama kuna ma gt basi hawafiki hata asilimia 5! Wachangiaji wengi humu ndani ni vigeugeu,wakurupukaji and wamejaa uchademanism wa kipumbavu! Leo utasikia wanamsifia samuel sita then kesho ni adui yao,leo wanamsifia ane kilango kesho adui! I can see many...
Nipo mitaa flan ndani ya mliman city nacheki gemu ya brazil and venezuela,gemu ndo imeanza! Brazil wapo ful nondo cesar,alves,neymar,robinho,pato,ganzo....! Huyu mtoto neymar mkali sana kibongo bongo namfananisha na haruna moshi boban! Mtaani symbion power washafanya mambo yao!
I have my friend, ameshawahi kuwa na uhusiano na wasichana 3 ambao sasa hivi wote wamekuwa machangudoa wanajiuza! Huyo wa kwanza alidumu naye kama mwaka,then wakaachana kuna mshkaji alimuona corner one day, siku 2kaenda kuhakikisha if its true kweli 2kamkuta yule msichana anauza,tulipomwibukia...
Kuna uhusiana mkubwa kati ya pombe na politics! Kwani ushahid unaonyesha wanasiasa walevi ndio mabingwa wa kukurupuka na kufanya maamuzi fyongo fyongo! Hata zile mbonji za wabunge wengi bungeni zasababishwa na mipombe! Wenyewe si mnashuhudia madumbwanga ya ngeleja?? Pombe hizo
Mbona huwasemi mwanahalisi,raia mwema na tanzania daima? Wao kila siku ni habari za lowasa, me natamani hayo magazeti yangebadilishwa majina na kuitwa lowasa newspapers
Me naona tatizo siyo shibuda,bali ni udikteta wa chadema na mbowe wake! Wabunge wa chadema hata mbowe akiwachukulia wake zao watamshangilia tuuu! Uoga gani huu?
Kwa wale 2naofuatilia ligi za uropa 2naelewa ni nini kinaendelea wakati huu! Mojawapo ya sababu kubwa iliyosababisha chadema kukosa viti vingi vya ubunge na udiwani ni kukosa watu makini wa kugombea sehemu mbalimbali! Kwa mfano katika kata ya lizaboni mjini songea watu wameichoka sana ccm,but...
Huku ni kwa wale wanaoitetea na kuisapoti ccm tu(kama wanaweza kujitokeza hadharanii!!!). Ni kichaa tu,au anayejifanya chizi anaweza kuchangia huku. Tunahitaji wachangiaji ambao WANATETEA MAMBO YAFUATAYO: mgawo wa umeme usio na kikomo, kutopatikana kwa maji safi na salama kwa uhakika tz nzima...
Chadema walikuwa wanapiga makelele sana kwa cuf kukubali kuchukua umakamu wa rais zenji,narudia UMAKAMU URAIS!! Wakawatukana sana cuf na kuwaita weak! Wao wameongwa unaibu meya tu,narudia UNAIBU MEYA wamekubali kwa mikono mitatu pamoja na kwamba walisababisha vifo vya watu 3! Kama ni msichana...
Kwa mara ya kwanza nilipata nafasi ya kumsikiliza slaa kwa utulivu last saturday pale tegeta road kwenye kongamano la chuo kikuu cha ardhi! Nasema kwa utulive bcoz tulikuwa watu wachache and wengi tuliokuwepo pale ni wasomi.
Slaa yupo kwenye level nyingine kabisa ya utafiti wa mambo na uelewa...
Juzi nilikuwa nasikiliza huu mwimbo mpya wa lady jd and Mr.Blue, nilishawahi kupenda!! Nyimbo hii ilinigusa sana and nikajiuliza kama kuna binadamu hapa tanzania/duniani above the age of 25 hajawahi kuumizwa na mpenzi/wapenzi wake!! Naamini hakuna mtu ambaye hajawahi kutendwa katika love!! Na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.