Search results

  1. S

    Asilimia 85% ya watanzania hawaitaki serikali ya jk kama uchaguzi ungefanyika leo

    tunapo changia mada ambazo zinahusu taifa letu tusihusishe udini, lazima mtambue 'mabadiliko hayawezi kuletwa na wakristo au waislam pekee',unapojadili mabadiliko huku unakashfu dini nyingine wewe si mwelewa na hutaki mabadiliko bali unataka fujo
  2. S

    Wanafunzi wa vyuo vikuu mkue jamani acheni utoto!!!

    Ewe mtoa mada nakupa ushauri wa bure...'kama huna chakuandika ni bora ukae utulie...kuliko kuandika mambo ambayo yanaonyesha uchanga wa fikra zako'. Unadhani mtu anawezaje kuwa mtaalam wa IT bila kuwa na computer? Je kama waliahidiwa kuna ubaya gan wao kuhoji juu ya ahadi hizo? Kuhusu nauli...
  3. S

    Mei mosi 2011, wafanyakazi bado hawana cha kujivunia

    Mishahara duni,kukatwa kodi kubwa, gharama za maisha kuongezeka, mazingira magumu ya kazi na mafao kiduchu ya uzeeni ni mambo yanayopunguza ari ya kazi!
  4. S

    Kongamano la Azimio la Arusha

    Matatizo ya ufisadi na uwajibikaji usioridhisha yasinge tufika kama tungefuata misingi ya azimio la Arusha. Wakati tukijadiri katiba mpya tufikiri pia juu ya azimio la Arusha
  5. S

    Kongamano la Azimio la Arusha

    Matatizo ya ufisadi na uwajibikaji usioridhisha yasinge tufika kama tungefuata misingi ya azimio la Arusha. Wakati tukijadiri katiba mpya tufikiri pia juu ya azimio la Arusha
  6. S

    Hukumu ya kwanza ya kesi za EPA

    Pengine inaweza kuwa mwanzo wa Tanzania mpya - Tanzania bila ufisadi. Tusubiri tuone...strange things do happen sometimes!
Back
Top Bottom