The issue is I don blame them, but I don find concrete reasons for this whether they are at hom or anywhere else. By the way they ddn break or violate any law, right???
Sasa home stuffs na bia bar wapi na wapi? Umesema mwnyw kuna sababu ya kua na stock ya vitu hom. Sababu ya kupanga kreti zima mezani ni nini?? Ingekua enzi zile wakati bia ni shida hapo sawa, au kama wameenda kwny mabwalo ya jeshi (huko bei ni rafik kdg) nako inakubalika lkn kwny bar za kawaida...
Hivi mbona kchwa cha habari ni tofaut na bandiko lenyewe??? Nimeingia kwa kasi ili nipate elimu but am disappointed. Nadhan title yako ingekua kwa mfumo wa swali...
Kwani huyo shosti wako ni Mungu kwmba analokuambia unalibeba kama lilivyo. Hili ndo tatizo kubwa la akina dada wengi, wakiambiwa kitu wanakibeba kama mstari wa bible. Muulize yeye vzr akuthibitishie sio kutupotezea muda hapa....
CCM ni baba kwenu nyie ambao kula yenu inatoka huko. Kwa sie ambao tunajihangaikia wenyewe na kula yetu kwa taabu za hilo li chama lenu usitupigie kelele. Tunasubiria kwa hamu hiyo octoba kmya kmya bila kelele. Nyie jifurahisheni na kujifariji tu....
Hii mada itakua ni ukombozi mkubwa. Up to now nmeaona wengi tuna uelewa hafifu when it comes to cars. Badala ya kila siku watu kutoa mapovu on ACT, CDM, CCM nk, huku sie twapata elimu. Mwaveja sn....
Mimi pendekezo langu ni moja tu, imetosha kuelekeza nguvu kwnye vifaa (magari). Nadhan ni muafaka kuelekeza nguvu kwa wanaoendesha hivy vifaa sasa. Process ya kuwapata madereva wa mabasi ni lazima iwe thorough...
Naona kila mtu amekua mchunguz sasa. Kwahy mikutano ya ACT kuwa na wasikilizaji ni kua CDM walikosea kumwadhibu ZZK?? Kwan wote wanaohudhuria ni wanachama wa ACT?? Acheni analysis za kitoto hizo. ZZK is no longer in CDM and life goes on....
Pamoja na hilo, hoja nyingine ya Prof ni kuwa pesa za escrow si za serikali kwa sababu hata CAG kwenye ukaguzi wa hesabu za tanesko alisema they don't meet the definition of asset. Kwa hiyo zilitakiwa zitolewe kwenye hesabu za tanesko.
Kwa maoni hayo ya CAG, Prof anataka kuaminisha Umma kuwa...
Kwa kweli sijapenda jinsi unavyomuaddress kwenye red hapo. Unyamwezi wake unahusu nini hapa? Niliona kwa mara ya kwanza nikajua umeteleza tu, lakini kurudia mara ya pili huu ni ubaguzi. Nadhani inatosha kusema hafai yeye kama yeye lakini hili la Unyamwezi HAPANA. Tusiwe wabaguzi kwa kiwango...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.