Serikali sio Mwajiri wakati mawaziri ndo wamiliki wa mabasi, maUDA yote na bado madereva wenu hawana mikataba. Kama mabasi yanayomilikiwa na vigogo mngeanza wengine wangefuata.
Na Mzee Moyo, anaendeleza mashambulizi vibaya na ametamka wazi kwamba km sio yeye kumwendea Maalim Seif kwa maridhiano basi rais wenu wa kupandikiza Shein asingeupata.
Na anazidi kupambana, na atawashinda maana akili zinazompinga ni kama zako.
Sasa kwa 'busara' hii unayoonesha ndo muweze kuwadhibiti akina Mzee Moyo, na mwaka huu CCM lazima mpoteze visiwani na bara, na sijui nguvu ya matunguli mtaitengezea wapi.
CCM ya sasa haina ubavu huo na wala haina kiongozi mwenye ushawishi wananchi wakamwelewa. Mnaishi kwa mizimu ya chama tawala lakini akili hazina chembe ya fikra za kiutawala bali ulaji tu na makundi.
Heshima yako Mbuzimtu, pia nikupe pole kwa kilio ulichokitoa cha kukosa kuona ziara za viongozi wetu CDM kitaifa.
Ni ukweli usiopingika, ujio wa viongozi wa kitaifa ni faraja kubwa kwa wapiga kura hawa watarajiwa ktk kuchagua diwani, mbunge na rais kupitia UKAWA.
Niungane na wewe...
Haina ubishi kwamba wazanzibar siku zote wako mbele kuliko watu wa bara, wanajielewa na wanajitambua. Kwao utaifa ni jambo la kwanza kuliko chama, hasa kwa wenye maono waliyo ndani ya CCM kutotishika na siasa za maslahi na ufisadi wa chama hicho kikongwe lakini kichanga kuliko busara za akina...
You seem to not have a sense to grasp the content of this insightiful speech, even Hitler knew what was morally good for the world but he chose vice to be his ultimate goal. So like you Mr Fox.
Ninapomuona Zitto wa kawaida ni pale hajifunzi frm past experience ya waliwahi fukuzwa CDM na hata vyama vingine. Zaidi ni pale vitangulizi vyake vimepotea kabisa, i.e Juliana Shenzi et al.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.