Kimsingi, hakuna teuzi yeyote anayofanya Rais isiyokuwa na masharti. Wakurugenzi ni watumishi wa umma ambao ni permanent and pensionable. Wanatambulika kwenye muundo wa utumishi wa umma. Na sifa za kuwa mkurugenzi ni kuwa angalau umetumikia managerial position ya ukuu wa Idara kwa miaka mitano...
Ni Wakati muafaka sasa tufanye foreign investment kwenye usimamizi wa demokrasia na utoaji na utendaji haki nchini, kama tunavyofanya kwenye madini, mapori, na bandari, gas, na kwingineko, kwa kuwa sisi hatuko vizuri kwenye eneo lolote lile. Tunapovutia wawekezaji kwenye nyanja za kiuchumi...
Jana niliandika kwa kirefu sana na nikisema DPW DEAL IS NOT REAL. Nikasema ni watanzania wenzetu wanataka kujimilikisha Bandari. Naomba kufafanua zaidi tuelewane.
Mkataba unatambua kuwepo kwa DPW itakayoanzishwa Tanzania as DPW Tanzania na itakuwa na affiliated companies na subsidiary...
DPW DEAL IS NOT REAL
Ni kundi la watanzania wanataka kujimilikisha biashara ya Bandari kwa mgongo wa DPW
Niliposikia watu wanalalamika kuhusu huu mkataba na kueleza ubaya wake, sikuwaelewa. Nililazimika kuutafuta na kusoma mwenyewe mwanzo mwisho. Baada ya kusoma mara kadhaa na kuelewa, comment...
Son of Tanganyika
How do you feel
When I call you a coward
How do you feel
When I call you a traitor
How do you feel
When I call you a betrayer
You have betrayed the land
The sons of our grands fought for
You have betrayed the living words
The founder of our nation painted after the victory...
It is Time for Action
Dear brothers and sisters
Dear elites and the learned
Dear active citizens and the common
Dear I you and them
It is time for action
Haven't you all heard
Haven't you all read
Haven't you all spoken
Haven't you all wondered
Haven't you all regretted
Haven't you all had...
Hivi kuna kikomo cha gari kukatiwa bima? Nimeenda kata bima kubwa naambiwa gari yangu muda wake wa kukatia bima umeisha, nimepewa ya kawaida tu! Msaada kwa anaejuwa
Kiongozi anayechaguliwa na wananchi hachaguliwi ili afanye mabaya. Ndo maana kwenye kampeni hawahubiri kutekeleza mabaya, bali mazuri wanayotaka wananchi. Huenda wangehubiri mabaya, wananchi wasingemchagua. Kwa maana hiyo, kuwafanyia mazuri wananchi ni jukumu la kila kiongozi na halihitaji...
Haikuwa nia ya Baba wa Taifa kujenga Taifa lenye watu waoga kama ambavyo amewahi kusema kwenye hotuba zake, lkn matokeo yake ndiyo hayo. Inawezekana hatukumuelewa vizuri wakati wake, au alitumia njia isiyo sahihi kujenga Taifa aliloliota. Taifa lenye watu waoga si Taifa la kujivunia. Unaweza...
Huko kunyimwa dhamana kwa kisingizio cha kulinda usalama wake kwa kuwa watekaji bado wapo mtaani kimekaaje? Au ni story tu sio sababu iliyotolewa ya kumnyima dhamana?
Binafsi naomba uiharibu tu siku yangu. Ni mapema mno kutoa pongezi. Jiulize kwa nini kafanya ivo? Kwa nini wajumbe wa huo mkutano wameitwa wengi kuliko kawaida? Kwa nini aliongea kwa uchungu kiasi hicho? Je, kila aongea kwa uchungu humaanisha? Kwa nini anatoa wito kwa kamishna wa TRA kunegotiate...
Nimekuwa nasubir kusikia hiki kutoka kwa wanafunzi wa NIT na umoja wa wanafunzi wa vyuo vikuku. Nashukuru ninyi mmeliona hili. Mnapaswa kuungwa mkono. Hongera sana kwa huo uamuzi.
Mungu amponye, kamanda Lissu. Hakika ni mtetezi wa wanyonge, wale wanaoonewa, na wasio na Sauti. Hawaoni umuhim wako sasa ivi, lkn vitabu vya historia ya Taifa letu vitaandika Jina lako kama shujaa kuliko watawala wa waliowakaribisha wawekezeji na kuwapa rasilimali zetu kwa mikataba ya ovyo
Kesho sikukuu, keshokutwa weekend, hapo paka jtatu. Makusudi yamefanyika, kumtesa kwa masaa zaidi ya 48. Wanafikiri wanamkomesha, kumbe ndo wanamchichea. Kunyamaza kwake maana ake aache kuwa mbunge wa upinzani, aache kutetea haki, kitu ambacho hakiwezekani
Haina tofauti na kodi walipayo wafanyakazi. Mshahara unakatwa kodi, na ukianza kuutumia unakatwa kodi pia. Ili kusema ni sawa ama si Sawa, au kunaunafuu ama lah, ni lazima kufanya estimation ya jumla ya kodi Mwananchi atalipa kwa mwaka kwa mfumo pendekezwa na huo uliopo. Mlete post tusaidie kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.