Watu hawana ubinadamu wanawaza pesa tu mpaka yakiwakuta, unaweza juona watu walivyokuwa wanashawishi kuweka pesa mbele ili upate huduma ndio tulipofikia sasa hivi. Lakini kwa yule anayesoma uzi huu ajue tu suala la damu halina mwenyewe likiachwa kuangaliwa kwa minajili ya pesa watu wengii sana...
Mdogo wake una O negative........ Dada ana B negative...... Ok hope ni wa baba mkubwa au mama mkubwa lakini sio baba na mama mmoja. Kama ni baba na mama mmoja then mawili either hosp walikosea kupima magroup au uongee na mama vizuri
Ni mara ya pili sasa inanitokea ninapoomba huduma ya kopa salio naambiwa sijakidhi vigezo na sipewi mkopo, lakini cha kushangaza nikiweka vocha nakatwa fedha ambayo sikupewa, piga customer service sasa kama wanapatikana.
Huu sio uungwana kabisa!!! Ni wizi wa mchana peupe
Ni kweli kwamba condom na calendar ni salama lakini ukiangalia failure rate ya hizo njia mbili ni kubwa sana. Kijiti na kitanzi kitanzi ni salama zaidi ya kijiti kwa sababu kijiti kinafanya slow release ya hormones ambayo ndio kidonge na sindano inachofanya tofauti labda inaweza kuwa aina ya...
Takwimu zinaonesha watumishi wengi wa kada ya afya na familia zao wanatumia Kitanzi, kwa nini kitanzi? Mara nyingi madhara makubwa yanayotokana na dawa za uzazi wa mpango huwa yamesababishwa na muingiliano wa hormones ambazo zinatokana na dawa za uzazi wa mpango zilizomo kwenye sindano...
Hahahaaaaa ndio tecno hiyo inakua na application jina, hata hizo fingerprint zinaoption ya kuchora chora na pin pia, inachofanya ni kukurahisishia kufungua simu badala ya kuchora unaweka kidole, bahati mbaya kuna simu fingerprint ipo nyuma kwenye cammera kitu kinachofanya accessibility yake...
Unatumia physics ya form 6 tena UP ya miaka ya 1960, technology inabadilika soma kijana. Reference ni 0 km/hr, akikupiga kwa mbele speed inasoma + kwa nyuma -. Rejea relative velocity topic
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.