Mimi nina mdogo wangu alikua anafanya kazi katika campuni ya sports betting sasa akawa ameingia tamaa ya kucheza yeye mwenyewe hadi akafikia milioni 20 akakimbia lakini mdhamini wake ni mama angu je sheria inasemaje kwa hili
Ndugu yangu butimba ttc kwa kirefu ni butimba teachers terchinical college sasa chuo cha ualimu na a level wap na wap then hiyo diploma ya mwaka mmoja mmoja haijatulia pitia vizuri uirekebishe next tym hiyo fake cv
Kanisa katoliki manzese linafanya shughuri hiyo kwa bei nzuri na chakula kizuri pi pamoja na mapambo kwa sherehe zozote wasiliana kwa namba 0658850002 au 0754800002
Ndugu zangu furaha niliyo nayo tangu alipo tangazwa nassari kuwa mbunge mteule imezidi kifani kwan nimeona kweli watanzania wamechoka na manyanyaso ya serikali ya kikoloni ya watu weusi wa chama cha mapinduzi nina washukuru sana wananchi wa arumeru amkujali pesa wala flana ata kanga ila...
Sasa watu wanaishi kwa umoja wewe unanuna kama sio wanga nini uo ndo uzalendo msema kweli uchaguzi mkuu 2015 safi baba yangu slaa we loves you much than
much
Habari za mchana wana jf poleni kwa msiba mkubwa wa mpambanaji wetu hon. Regia , lakin akuondoka hiv hiv najua alikuwa na ndoto za kimapinduzi siku zote alituimiza kuwa wapambanaji najua kimwili tupo mbali lakin kiroho bado tupo pamoja, kazi alio iacha inatupasa kuiendeleza kwa juhudi kubwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.