huu ni upuuzi kabisa kutoza sh.10000 maana makosa walifanya wao tangu mwanzo.km nia njema kwanini isiwe bure tu maana unaponunua pkpk mpya hayo unakua umelipia halafu tena kwenye kubadili unalipia tena huko ni kukosa ubunifu kwa serikali ya ccm wanataka kupiga hela ki-aina! tena ni uonevu na...
Mwalimu mwenye shahada ya kwanza akiajiriwa shule ya sekondari huitwa AFISA ELIMU DARAJA LA PILI na huanzia na ngazi ya TGTSD sh. 532000= wakati kiwango hichohicho cha elimu akiajiriwa ktk chuo cha ualimu huitwa MKUFUNZI na huanza na mshahara wa TGTSE sh.740000= Je, serikali sikivu ya CCM...
Hebu pitia takwimu fupi za CHADEMA
MWAKA1995 tulishinda Wabunge 4, madiwani 42.
Mwaka2000, tulishinda wabunge 5 madiwani 75.
Mwaka 2005 Wabunge 11 madiwani 103"
Mwaka 2010 Wabunge 48, Madiwani. 467.
itakua vp 2015 kama si kwenda IKULU? Mchango wako ni muhim sn kufanikisha...
haki ya mama adui wa walimu ni mwalimu mwenyewe.toka nimeanza kazi sijawahi sikia madiliko ya rais wa chama unategemea nn?cwt wizi mtupu! Popompooo wakubwa eti wanataka kuanzisa benk ili waendelee kujinufaisha.
Hatimaye walimu wote wa shule
ya sekondari lvuna ilioko kata ya
lvuna tarafa ya kamsamba wilaya
mpya ya MOMBA wamegoma
kuingia madarasani kuanzia leo tar
18.03.13 mpaka watakapo
tekelezewa madai yao sugu.
Madai hayo ni ukosefu wa
nyumba za kuishi ambapo tangu
shule hiyo ianzishwe mwaka...
MKURUGENZI GREEN ACRES
AFICHUA SIRI NZITO
na Betty Kangonga
WAKATI mjadala wa matokeo
mabaya ya kidato cha nne
ukiendelea kulitikisa taifa,
kashfa mpya ya matokeo hayo
imeibuliwa.
Kashfa hiyo mpya imeibuliwa na
Mkurugenzi wa Shule ya Green
Acres, Julian Bujugo, kwamba
matokeo ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.