hizi ni tetesi ambazo zimeenea hapa Mtwara kuwa mtu aliyejitambulisha toka magogoni ametumwa kwenda kumuchukua bibi wa msimbati(sakata la gesi). lakini kabla ya hapo bibi alioteshwa na kuwaambia watu kuwa watakuja watu kumdhuru hivyo wasitoke pale nyumbani. inasemekana gari lake li meharibiwa...
Mangula muongo anamtaja RICHARD NDASSA kuwa alipitishwa kugombea mwaka 2000 kwa sababu JOSEPH MAJIGE (marehemu) alitoa rushwa SUMVE, ukweli ni kwamba wote walitoa rushwa kwa kuzidiana. Ndassa anatoa rushwa ktk uchaguzi hadi kesho
uchawi upo hata biblia imeutaja, katika jimbo la SOLWA ndugu Shashi LUGEYE alikuwa mkuu wa wilaya ya KWIMBA mwanza, mwaka 2000 akaenda kugombea ubunge akashindwa kura za maoni CCM,baada ya hapo akagombea kupitia CCM-B akashindwa uchaguzi mkuu, mbunge aliyeshinda akafa baada ya miezi mitatu...
Hivi watanganyika mnawabembeleza nini hawa wazanzibar?
Ufike wakati sasa tuwarudishe watu wetu na wao tuwatimue bongo.
Tumewachoka. Ufike wakati tuwe na msimamo mkali.
Shame on you jussa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.