Jamani fomu hazitolewi ila unaandika kwa mkono na kuiacha kwa afisa mtendaji wa kata yako baada ya kupitisha ofisi ya serikali ya mtaa. Iyo taarifa nimepata wilayani, nenda ktk ofisi za wilaya yako.
duh nimekaa zaidi ya nusu saa sijapata jibu la kukupa, ila in short 1st man he real love u ila kama humpendi achana nae, ila 2nd man doesn't love u, ila kumbuka wanaume wachache utaishia kuzalishwa tu, omba ushauri zaidi ila pia dunia hi dada mnakufa sana humo maofisini, think twice, ni hayo
Je bint anatabia kama za hao wake wa ndugu zako.? Obvious ulipomtafuta uliona anafaa.. Si kila mchaga yupo ivyo, kila kabila na watu wake wana udhaifu take care usije ukajuta baadae ishi na mtu unayempenda. Great thinker hawawezi kukupa jinsi ya kumwacha m2 unayempenda ila unaendeshwa na ndugu,
duuu..!hizo sms za kiswa-English na za ku copy hazina radha bhana, valentine mfanyie ki2 kipya yule unayempenda na sio lazima mpenzi, sms 2mezoea just fanya ki2 tofauti na kawaida yako kitakachomfurahisha your valentine kilicho ndani ya uwezo wako.
kajunju acha kulia sana ukilia sana unatupa uchungu.,UBC, KBC, ZNBC na nchi jirani nyinge television zao za taifa zanaonyesha mechi, ila mi napita tu nitarudi pale zambia watakapokabiziwa kombe bdae.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.