Search results

  1. K

    Je hili ni sahihi?

    Naomba kuuliza wajameni, mtoto wa kike ukiwa na mahusiano na mtu unampenda kwa moyo wako wote, ukamficha baadhi ya mali zako ni sahihi kuwa unampenda au unajidanganya tu na nafsi yako? Mali hizo ni kama vile kuwa na kiwanja then unaficha wakati ye kakuweka wazi vyakwake. Na je kumuweka wazi...
  2. K

    Je, Nimuonjeshe? Naomba ushauri

    Hyo stori yako haihusu kbs, wangapi wanafanya sex bfr marriage wamedumu? Mwanaume hata ukimpa sex bfr usimpe km hakupendi hakupendi 2. Tena bora umpe ili isije ikawa anakutaman unamnyima anachakachua nje.
  3. K

    Hivi ujanja wa sinza ni upi hasa

    we nafikiri ulimaanisha ambaye hajahitimu hata darasa la saba, na pesa ipo anawekwa kundi gani? Au nae ka graduate elimu ya mtaani elimu dunia?
  4. K

    Hivi ujanja wa sinza ni upi hasa

    well said broda sina cha kuongeza
  5. K

    Vits inauzwa 2001 model

    haijachoka bdo km picha nitakuwekea pande nzuri nipigie 2kutane uione kwa macho.
  6. K

    Vits inauzwa 2001 model

    nimepokea 2meshaongea nilikuwa busy kdg sory.
  7. K

    Vits inauzwa 2001 model

    bora umenisaidia
  8. K

    Nahitaji laptop aina ya samsung, used.

    Wapendwa kwa bahati mbaya nilipoteza laptop ya ofisini, nahitaji laptop aina ya Samsung 2 GB, used size ya kati sio mjuzi sana kwenye screen size, mwenye nayo naomba anipigie 0656205308.
  9. K

    Vits inauzwa 2001 model

    Vits inauzwa model ya 2001, imetembea km 100,000, ina mwaka toka isajiliwe iko ktk hali nzuri, bei 6.5 mil. Nyekundu. Anayehitaji kuiona anipigie namba 0656205308
  10. K

    haifai

    wewe tatizo lako mpaka sasa sijalielewa bado hebu liseme? Ungekuwa na akili pia ungenishauri kwa kuni PM lakini mpk sasa sijaona ushauri unaouzungumzia.
Back
Top Bottom