lugola asikutishe huyo mbwa,na kama haamini afanye anachoweza halafu aone tunajuwa anapoishi na ndg zake tunawajuwa na ajaribu aone.Mkama kumbe mjinga sana!
Hii habari ni yakweli?mana nimesikia jana kwenye chombo cha habari kuwa hukumu imeahirishwa mpaka baada ya kumalizika kwa mkutano huu wa bunge unaoendelea.tunnaomba source yako plz!
Hapa kuna jambo linaandaliwa kujustfy intelejensia yao,lengo hasa nikuwazuia kabisa chadema kufanya mikutano yao hasa wakati huu wa vuguvugu la KATIBA mpya na huu ufisadi unaondelea kuibuliwa na kamati za bunge.Kwa hali ilivyo sasa serikalini wanaweza kufanya chochote ili kuhamisha mawazo ya...
Pole mzee mwenzangu,mungu akuponye haraka uwezekuendelea na shuguli zako.Jamani hiki kifo tunatembea nacho hatujui muda,siku wala saa kinawezatokea,tuombe na kushukuru kwa kila jambo.
Umenikumbusha yule bosi aliyeinunuwa Uda ambae ni rafiki wa mtoto wa mkulu,wakati wa uchaguzi wa ubunge mwaka jana kwenye lile jimbo la Shibuda alimpiga ngwala OCD na hakufanywa lolote na alikuwa ni mgombea tu,jiulize sasa ww mbunge unatetea wananchi wako unalambwa vibao,can u imagine?Kigwangala...
Pole sana mh Kigwangala,unavuta shuka wakati kumepambazuka! hao ndio police ambao wananchi wanawalalamikia kila cku kuwa wananyanyasa raia na kuwabambikia kesi nakuwapiga na nyinyi watunga sheria mnapuuza,sasa leo unapigwa kibao unalalamika, wenzio wanapigwa na marungu na kuporwa mali zao,ama...
Huyu fisadi alitakiwa kuwa gerezani tu,kuwa kwake nje kunacreate confusion kwa watanzania tu.Tunahangaika na umeme,nabado tunahitajika kulipa Dowans mabilion kwa ufisadi wake halafu anajifaraguwa!Kikwete peleka huyu kibaka Ukonga asitutie hasira hapa!!!
Unafiki uliopo ccm utawamamliza, mana Lowasa leo kaongea full mipasho na alikuwa anamnanga Nape na magazeti na kumsfia Kikwete kuwa hawakukutana barabarani.Kwa haya aliyoyasema leo huyu Lowasa nadhani akili yake bado anamtegemea sana Kikwete kwa uchaguzi ujao 2015.Hana jipya ni fisadi mkubwa.
Vodacom mapimbi sana hii bahati nasibu yao eti ukiingia mara1 huruhusiwi kujitoa!Majambazi wanakugeuza mradi,wezi wakubwa wangekuwa wanatoa tahadhari kuwa ukishajiunga ni forever basi mtu ungeamua mwenyewe lkn wapi!nimetuma msg kuomba nijitoe hakuna jibu!Nimeitupa line hii ni wk ya pili.Mijitu...
Chadema tunaka sasa kuona seriousnes yenu kwa jambo hili,wanachama wenu wanateketea na midude CCM.
Nnauye, Mukama, Nchemba na Wasira ni watu wanafiki na wauaji wakubwa, kwanini haya yanatokea sasa kwenye uongozi wao ndani ya CCM? Na si wakati wa kina Yusuph Makamba?
Kweli inaumiza sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.