non sense, "kimei must go" peleka mashtaka yako kortini ili uwe survivor.
bloody foooooooooooooooooooooolllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllll
The coin is "DagCoin"
For now there is an opportunity of buying coins at cheap prices and invest them after few months selling them high.
There are many opportunities for now and welcome for a session at your interest...
kwakifup ndo hivyo mzeee baba
Hello JF,
Nimekutana na fursa ya concurrency ambayo bado ni new na ina market penetration.
So karibuni kupata high lights zake na kwa zaid nichek inbobo......
Wasalam.
Habar wana JF,
Nimevutiwa na kilimo cha mchai mchai sana, lakin hadi muda huu sina pakuanzia wala kuelekea.
Kwa yeyote ambae anaufaham zaid kuhusu hii project aje aweke wazi ideas, tuingie kazini tuwajibike.
Nawasilisha.
Mkuu kushushwa kwa riba sio kuangalia siasa labda mtu gan kasema nini au nani kafanya nini.
Hiyo behind the scene kuna kitu hapo kinakua avoided ili kupunguza hasra kubwa isiwapate.
Nimekufungua kwa kiasi hicho, na wewe ingia deep zaid ujue/ufahamu yaliyojiri huko.\
Alamsik.
Una point mkuuu, ndo maaana hilo group la telegram lipo kwaajili ya kupeana elimu na kufundishana.
Please join people kuna watu wanahitaj msaada wafanye biashara hyo.
Habar wana JF,
Nimekua nisikia sana kuhusu crypto-currencies lakin nashindwa kuelewa kiundani haswa inafanywa vipi. zaid naelewa bitcoin kwakua inaongelewa sana.
Mwenye uelewa zaid afafanue na kuonyesha biashara yake imekaaje haswa ikiwa kama fursa.
Tafadhalini sana weka mambo hadharani.
Asante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.