We chachari naona hauko sawa weye!msikitini ni ibada tu sio sehemu ya kufanyia kampeni!kama ndo ndo mafuzo mnayope kanisani na hao viongozi wenu ni dhahiri kabisa kwmba we sio muumin bali ni mshabiki wa maaskofu ndo maana wakubebea iman yako pole kijana wangu unahitaji kurudi darasa la awali
serikali yetu imejawa na mafisadi mno katika kila ilan ya chama viongozi hujiwekea mikakati yao kwa ajili ya maendeleo ya taifa.hii inaonyesha dhahiri kuwa mweshimiwa sitta ana ufinyu wa uelewa,haiwezekani mtu akahisi kunya leo alafu umwambie kwanini hujanya jana,viongozi kama hawa 2napaswa...
Serikali yetu inajitahidi kujenga vyuo vikuu vingi,sekondari za kata na sule za msingi pasipo na watoto wa vigogo kusoma kwenye shule hizi.wahitimu wanaongezeka kwa kasi lakin mbona walio wengi wanazagaa mtaaani?Wamekalia kufilisi makampuni kama Tango Transpot na kuwakumbatia mafisadi hivi hii...
Wakati kiongozi wa Iraq SADAM HUSSEIN anakamatwa na kikosi cha CIA aliteswa na kudhalilishwa na mpaka kutangaza waziwazi siku yake ya kunyongwa ambaye ilikuwa desember siku ya IDD tena,imekuwaje leo kwa gaid kama ossama wasimdhalilishe?Au ossama aliwatendea mema kiasi gani mpaka wamuheshi kiasi...
sasa uzalendo upi unaongelea wewe.wakati wanapiga iraq na sasa wanapiga libya hawalengi walengwa yani majeshi ya gaddafi.waliopata madhara iraq ni innocent na libya pia sasa ukiniambia uzalendo katika karne hi hamna.ther is nuthn like sm1 or people are being patriotic.hu uzalendo ni wa danganya...
kwanini bin laden kazikwa baharini?wakati hao makafiri wanapinga dini ya kislamu na sheria zake.iweje leo wamzike mtu aliytikisa uchumi wao kwa heshima na kufuata mbdil4 ya kislam .na iweje wasambaze picha 2 na hizo zilitumika 2 years ago.hi propaganda za wayahudi.
Hivi nyie wana jf mbona mna2danganya kitoto hebu angalieni hiyo picha ni ya marehemu kweli!hii ni siasa bwana jamaa anatafuta umaarufu wa kuingia madarakani tena!edited hiyo ya picture sio ukweli
U knw wt?mimi cioni umuhimu wa malumbano ya wana cdm kwa upande wangu zito yuko sahihi kabisa chama hakiwezi kununua magari chakavu kutoka india kwa sh 486 milions wakati cdm wenyewe wanaipiga ccm kufanya hivyo mbowe anamfwata lema aliyemchanga kwenye siasa mpashkuna huyu mi nashauri zito...
yan mwanamke yeyote akivaa nguo ambayo geographia ya mwili wake inajidhihirisha especial trouse,min au hata gauni zingine wanasema ni new arrivols wakivaa wanaivuta upande mmoja wana bana na chupi yani kana kwamba ni defu labda halafu unamkuta m2 amebeba bible na mkono wa kushoto wale...
hawa makafiri wekundu shida yao sio kutetea haki za libyan shida yao ni mafuta 2! Waarabu wakuwa wajinga mpaka wanatoa sapot kwa nato haya sasa wanapiga mpaka makazi ya kiongozi tofauti sheria ya umoja wa mataifa
mnajua huu wakati si wa azimio la Arusha tena,Azimio hili lililenga hasa upeo wa wananchi wake nyerere aliwaza kupitisha hili kwa sababu wananchi wake walikuwa wanategemea fikra zake!sasa hivi mashallah watu wamesoma maswala ya azimio hayatatusaidia kitu kinachotakiwa 2cwape mwanya mafisadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.