Daah! hawa jamaa hata mm nimeshapoteza iman nao kabsa, jana archuga wamechukua watu nane tu kati ya 70 tuliopga hiyo interview. Nahic kuna ka mchezo kachafu kanaendelea.
Kutoka Michuzi blog Mkuu;TAZAMA RAMANI
Tazama ramani utaona nchi nzuri
Yenye mito na mabonde mengi ya nafaka,
Nasema kwa kinywa halafu kwa kufikiri,
Nchi hiyo mashuhuri huitwa Tanzaniaaaaaaaaaa....
Majira yetu haya, yangekuwaje sasa
Utumwa wa nchi, Nyerere
ameukomesha X2
Chemchem ya...
Hapo itabid ucheki walikua wanahitaji kuajir watu wangap katika hizo nafac walizotoaga hafu ndo ufanye uhamuzi wako. mfano unaweza kuta kwenye hiyo walioita watu 50 wanahitaji labda watu 10 hapo inamaana nafac moja inagombaniwa na watu 5, na hiyo ya 12 labda wakawa wanahtaj watu 4 hapo inamaana...
Ilitokea hivyo na kama ni utumishi bac itabid uchague tu moja, lakini kama ni makampun mengine unaweza kuwasiliana na moja wapo ukaomba uhairishiwe hku ukitoa sababu itakayowafanya washawishike kukubali ombi hilo.
Kwanza Peace man kwa kujua ulipoteleza, pili ni kwamba jamaa hapo juu TARUKA na YESER wamenijibu man na nashukuru kwa majibu yao. Na huyo mkuu Seki6 nafikir yeye ndo kakufanya ukatambua ulipoteleza, so big up sana jomba. Halafu unavyosema DESA mimi cjamwomba m2 anipedesa, mimi nikuwa nataka...
Mambo mengine ukishindwa kumsaidia mtu mkuu ni bora ukae kimya kama wenzio walio view na kusepa na siyo kuropoka ropoka tu. Nafikiri hujui nini maana ya kujiandaa. Sikushangai sana jomba coz wa2 kama nyie nilijua mtajitokeza tu.
Wakuu mliopiga usaili wa Afisa mtendaji kata, Plse embu fungukeni kuhusu maswali yanayoulizwa / yaliyoulizwa kwenye WRITTEN na kwenye ORAL. Natangulisha shukrani zangu kwa wadau wote watakao tiririka hapa.
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, Bw. Xavier Daudi amesema ofisi yake hivi sasa itakuwa ikitoa ratiba ya usaili mapema kila mara ili kuwawezesha wasailiwa kuwa na muda wa kutosha kujiandaa kabla ya kwenda kwenye usaili husika.
Amesema hayo leo wakati akiongea na...
Uciwe na hofu mkuu, katibu amesema hizo za maafisa tarafa na zile za state attorney wataita watu ndani ya huu mwezi kwa hiyo tuendelee kuchek tovut yao kila mara.
Mkuu karibu STAR TV ni ya ukwel ndo maana hata BBC wanaiaminia kwa kurusha kipnd chao cha dira ya dunia startv......halafu kuna komedi moja ya ukwel inaoneshwaga evry monday kuanzia saa 3 ucku.
UKIANGALIA TBC UNAWEZA KUVUNJAVUNJA SCREEN YA TV YAKO BURE MKUU KWA HASIRA. Achen wakina Tendewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.